Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Alichokisema Hakimu Katika Kesi ya Malinzi Kuhusu Upelelezi Kutokamilika Kila Kesi Ikitajwa

$
0
0
Mahakama  ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam imeuagiza upande wa Jamhuri kukamilisha kwa haraka upelelezi wa kesi ya vigogo watatu wa Shirikisho la Soka (TFF), akiwamo aliyekuwa rais Jamal Malinzi, ili haki iweze kutendeka kwa pande zote mbili. Uamuzi huo ulitolewa jana na Hakimu Mkazi Mkuu, Wilbard Mashauri.

Hakimu Mashauri alisema ni aibu kila tarehe ya kesi inapopangwa upande wa Jamhuri kudai upelelezi bado haujakamilika huku washtakiwa wakiwa mahabusu zaidi ya miezi tisa sasa.

"Washtakiwa wako mahabusu miezi tisa sasa imepita bila ya upelelezi kukamilika, upande wa Jamhuri kamilisheni upelelezi haraka ili pande zote mbili ziweze kupata haki," aliagiza Hakimu Mashauri.

"Mahakama yangu inatupilia mbali (hata hivyo) maombi ya utetezi ya kwamba ina mamlaka ya kuwaachia (huru) washtakiwa chini ya kifungu cha 225 kidogo cha (5) cha sheria ya Mwendo wa Makosa ya Jinai (CPA)."

Akifafanua uamuzi wake huo, hakimu huyo alisema mahakama hiyo kisheria haina mamlaka ya kuwaachia washtakiwa hao kwa sababu miongoni mwa mashtaka yanayowakabili ni ya kughushi ambayo hayaingii katika kanuni ya kukamilisha upelelezi ndani ya siku 60.

Mbali na Malinzi (58), washtakiwa wengine ni aliyekua Katibu Mkuu, Mwesigwa Selestine(47) na Mhasibu, Nsiande Mwanga (28) wote wa TFF.

Wakati huo huo, wakili wa utetezi Kashindye Thabiti alidai mahakamani hapo kuwa hukosa ruhusa ya kuzungumza na washtakiwa wanapokwenda mahabusu ya Magereza.

"Mheshimiwa tunaomba mahakama yako itusaidie kupata kibali cha kuwaona washtakiwa kwa sababu wateja wetu wana haki ya kuongea na mawakili ili kuwapa mwongozo dhidi ya kesi yao," alidai Thabiti.

Wakili wa serikali, Upendo Temu alijibu hoja ya utetezi kwa maelezo ufuate utaratibu uliowekwa na Jeshi la Magereza wa kuwaona washtakiwa walioko mahabusu.

Hakimu Mashauri alisema katika kutembelea mahabusu waliopo magereza ni lazima utaratibu uliowekwa na jeshi hilo ufuatwe. Alisema kesi hiyo itatajwa Machi 28.

Machi 8, mwaka huu upande wa utetezi ulilalamika mahakamani hapo kuwa kesi hiyo imechukua muda mrefu tangu washitakiwa walipofikishwa kwa mara ya kwanza Juni, mwaka jana.

Malinzi na wenzake walipandishwa kizimbani kwa mara ya kwanza Juni 29 wakikabiliwa na mashtaka 28 ikiwamo ya kughushi na kutakatisha fedha dola za Marekani 375,418.



Jeshi la Polisi Latoa Taarifa Kuokotwa Mwili wa Mmiliki wa Mabasi ya Super Sami Ukiwa Kwenye Kiroba

$
0
0
Jeshi la Polisi mkoa wa Kipolisi Mara, limetoa taarifa rasmi juu ya kuokotwa kwa mwili wa mfanya biashara na mmiliki wa mabasi ya Super Sami Samson Josiah , ambaye alitoweka na mwili wake kuokotwa mtoni hapo juzi.

Kamanda wa Polisi mkoa wa Mara Jafari Mohamedi, amesema hapo Jumatano walipata taarifa kutoka kwa wananchi kuhusu kuokotwa kwa kiroba chenye mwili ndani, na walipokifungua na kuita watu kutambua, ndipo alipojulikana kuwa ni mwili wa mfanya biashara huyo anayeishi mkoani Mwanza.

"Jumatano jioni  tumeweza kupata mwili wa marehemu huyu Samson Josiah ambaye ni mmiliki wa mabasi ya Super Sammy anayeishi Mwanza

"Tulipata taarifa  kwamba kuna mwili umeonekana katika mto ambao unatenganisha mkoa wa Mara na mkoa wa Simiyu unaoelekea mbugani Serengeti, wananchi waliona kiroba kimefungwa kinaelea, kikavutwa wakajulishwa polisi kufungua ndani wakakuta mwili wa marehemu.

" Kwa sababu tulikuwa na taarifa za utafutaji na mashaka juu ya kutoweka kwake, tukajulisha ndugu hao na wakatambua mwili wa marehemu”, amesema Kamanda Mohamedi.

Kamanda Mohamedi aliendelea kwa kueleza kwamba marehemu alitoweka kuanzia tarehe 27 mwezi wa pili ambapo aliondoka mkoani mwanza, na ndugu zake walisema kuwa aliaga anaenda Simiyu kwa shughuli zake za kibiashara na kuna mtu anamdai na akapotea tangu siku hiyo, na gari yake aliyotoka nayo Mwanza kukutwa imechomwa mtoto maeneo ya Serengeti mnamo tarehe 8 hadi kuteketea kabisa.

Imeelezwa kwamba kwa sasa mwili huo umehifadhiwa hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Mara kwa ajili ya postmoterm, na baadaye utatolewa kwenda kuzikwa, na mpaka sasa watu wanne wameshikiliwa kufuatia tukio hilo, upelelezi bado unaendelea

Kagame Apiga marufuku vipaza sauti misikitini

$
0
0
Mamlaka jijini Kigali nchini Rwanda imepiga marufuku matumizi ya vipaza sauti vinavyotumika kutoa adhana kwenye misikiti.

Hatua hii imekuja wiki mbili baada ya mamlaka jijini Kigali kuyafunga makanisa zaidi ya mia saba. Pia baadhi ya makanisa yalifungwa kwa sababu ya kutokuwa na usajili.

Kwa mujibu wa maelezo ya mshauri mkuu wa mufti wa Rwanda Sheikh Mbarushimana Suleiman taarifa hiyo imepokelewa na kilichopo sasa wameanza kuifanyia kazi.

Sheikh Suleiman amefafanua kuwa Kama vile yalivyofungwa makanisa zaidi ya mia saba wiki mbili zilizopita jijini kwa ajili ya kelele huenda hii ni ishara kwamba hata misikiti ikafutia endapo wenyewe watashindwa kuridhia agizo hilo.

Lakini kufuatia agizo lililotolewa na mamlaka ya tarafa ya Nyarugenge mjini Kigali ambalo ni moja ya eneo lenye waislamu wengi, inawezekana sasa sauti za adhana zisisikike kwa upeo wa juu.

Katibu mtendaji wa tarafa hiyo Havuguziga Charles amefafanua kwamba hatua hii imechukuliwa kwa sababu ya kelele zinazodaiwa kuwasumbua wananchi.

“Baada ya kutathmini tatizo la kelele zinazowasumbua wananchi wakati wa ibada makanisani iliamuliwa kwamba hata vile vipaza sauti vilivyoko juu ya misikiti ambavyo waislamu hutumia wakati wa ibada kwamba vikome. Tuliwaomba viongozi wa misikiti kwamba watafute njia mbadala za kuwataarifu waumini wao saa za ibada bila kutumia vipaza sauti kwa sababu vinasababisha kelele.,” amesema Nyarugenge.

Hatua hii imejiri wiki mbili baada ya kufungwa makanisa zaidi ya mia saba jijini Kigali kwa tuhuma hizo huku hata baadhi ya wachungaji wakiendelea kuzuiliwa kwa shutuma za kukaidi agizo hilo.

Chanzo:VoaSwahili

Familia ya Tundu Lissu Yazungumzia Kucheleweshwa Upepelezi wa Aliyempiga Risasi

$
0
0
Wakati afya ya mbunge  wa Jimbo la Singida Mashariki, Tundu Lissu inaendelea kuimarika zaidi baada ya kufanyiwa upasuaji wa mfupa kwenye mguu wa kulia jana, familia yake imelalamikia suala upelelezi wa tukio la kujeruhiwa kwake.

Akizungumza mjini hapa juu kuhusu hali ya Lissu, Msemaji wa familia ya Lissu, Wakili Alute Mughwai, amesema hali ya ndugu yao inaendelea na vizuri na wanamshukuru Mungu kwa kila hatua anayopitia katika matibabu lakini hadi sasa hakuna taarifa yoyote waliyopewa kuhusu uchunguzi wa tukio hilo.

“Hakuna taarifa tuliyopewa kama ndugu licha ya kuziomba mamlaka ziombe msaada wa kiupelelezi kutoka nje, lakini tulijibiwa polisi wanaweza kufanya uchunguzi japo hadi sasa hakuna kinachoendelea, wasiwasi wetu ni kwamba polisi hawana utayari wa kuchunguza tukio hili ndiyo sababu wamekuwa kimya,” amesema.

Kutokana na hali hiyo, Wakili Mughwai amelikumbusha Jeshi la Polisi na mamlaka husika kuhakikisha wanafanya upelelezi wa tukio hilo ikiwamo kuwakamata wahusika.

“Mungu aliye pamoja nasi tunaamini atafunua njia nyingine nasi tuchukue hatua zitakazofuata baada ya kukaa na kushauriana na mgonjwa. Hii tutaifanya pale tutakapoona masuala yamegonga mwamba,” amesema Wakili Mughwai.

Kuhusu mawasiliano na Ofisi ya Bunge kuchangia matibabu ya Lissu ambaye ana haki ya kupatiwa matibabu kutoka kwenye ofisi hiyo, Wakili Mughwai amesema hadi sasa wana zaidi ya mwezi mmoja na siku 15 bila kuwa na mawasiliano na ofisi ya Bunge.

“Familia ilipokea barua ya Bunge Februari Mosi, mwaka huu ikitutaarifu kupokea barua yetu ya Januari kuhusu kuhamishwa kwa Lissu kwenda Ubelgiji kutoka Hospitali ya Nairobi alikolazwa tangu apigwe risasi na kututaarufu kwamba wamewasiliana na Wizara ya Afya iliyotoa madaktari watatu kwenda Nairobi kwa ajili ya kumuona Lissu lakini hawakuweza kumuona kwani tayari alishapelekwa Ubelgiji,” amesema.

Lissu alijeruhiwa kwa risasi Septemba 7, mwaka jana nyumbani kwake mkoani Dodoma kisha kusafirishwa Hospitali ya Nairobi nchini Kenya kabla ya kuhamishiwa nchini Ubelgiji kwa matibabu zaidi.

LHRC Yatoa Ufafanuzi wa Kisheria juu ya Sakata la Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi Tanzania (TSNP) Abdul Nondo

$
0
0
Katika kudumisha haki za binadamu na utawala wa sheria nchini Tanzania, Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu kimeendelea kufanya uangalizi wa utendaji kazi wa serikali ili kuhakikisha inatekeleza majukumu yake bila kukiuka misingi ya haki za binadamu na utawala wa sheria.
 
Mnamo Machi 7, 2018 Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu kilipata taarifa za kushtusha za kutokuonekana kwa Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi Tanzania (TSNP) Ndugu Abdul Nondo na kufarijika baada ya kupata taarifa za kupatikana kwake mapema.
 
Hata hivyo taarifa za shutuma zilizoelekezwa kwa Abdul Nondo kutoka kwa jeshi la Polisi, Waziri wa Mambo ya Ndani pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam baada ya kujisalimisha kwa Jeshi la Polisi huko Iringa zimekishitua Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu na kuona ni vyema kufanya kumbushi ya kisheria kwa jeshi la polisi na viongozi hao kwa kukiuka sheria kama inavyofafanuliwa;
Dhana ya Kutokuwa na Hatia (Presumption of Innocence)
Kwa mujibu wa Ibara ya 13 (6) (b) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, Sura No.2 kama ilivofanyiwa marejeo mwaka 2002:-
“Ni marufuku kwa mtu yeyote aliyeshtakiwa kwa kosa la jinai kutendewa kama mtu mwenye kosa hilo mpaka itakapothibitika kuwa anayo hatia ya kutenda kosa hilo.”
 
Ni kosa kumhukumu mtu yeyote bila ya chombo chenye mamlaka hayo kuthibitisha kuwa mtu huyo amefanya kosa hilo. Viongozi wa kisiasa na serikali kuzungumza baadhi ya masuala kama maamuzi ya mwisho na kuingilia muhimili wa mahakama na kuwaita watu wahalifu na kusahau dhana pana ya kutokuwa na hatia hadi imethibitishwa ni ukiukwaji wa Katiba.
 
Kuingiliwa kwa muhimili wa Mahakama
Mahakama ndio chombo chenye mamlaka ya juu zaidi katika utoaji haki kama ilivyofafanuliwa katika Ibara ya 107A (1) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977:-
“Mamalaka yenye kauli ya mwisho ya utoaji haki katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni Mahakama.”
 
Viongozi wa serikali na jeshi la polisi watafanya kosa kumshutumu mtu yeyote yule na kuingilia uhuru na kazi ya mhimili wa Mahakama kinyume cha Katiba walioapa kuilinda.
 
Ukiukwaji wa Haki ya Kupata Dhamana
Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzanaia imetoa haki ya mtu kupata dhamana pale ambapo suala lake lipo katika vyombo vya utaoji wa haki. Ibara ya 13 (6) (a) inaeleza:-
“Wakati haki na wajibu wa mtu yeyote inapohitajika kufanyiwa maamuzi na mahakama au chombo kingine chochote kinachohusika, basi mtu huyo atakuwa na haki ya kupewa fursa ya kusikilizwa kiukamilifu, na pia haki ya kukata rufani au kupata nafuu nyingine.”
 
Wakati Jeshi la Polisi likiendelea na uchunguzi lilipaswa kutoa dhamana kwa Abdul Nondo. Mahakama imeweza kutangaza vipengele vya sheria vinanvyokinzana na Katiba katika kumnyima mtuhumiwa kupata dhamana pale ambapo shauri lake linapokuwa linasikilizwa au anapokuwa chini ya upelelezi wa Jeshi la Polisi. 

Tumeshuhudia hivi karibuni Mahakama ya Rufani ya Tanzania katika kesi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali dhidi ya Mtobesya, ambapo Mahakama imetangaza kifungu namba 148 (4) cha Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai Sura No. 20 kuwa batili kwani kinampa mamalaka Mkurugenzi wa Mashtaka mtuhumiwa haki ya kupata dhamana. Si sahihi kumuweka mtu kizuizini bila dhamana au kufikishwa mahakamani kwa zaidi ya siku saba wakati sheria imeweka masaa 24 .
 
Haki ya kupata Uwakilishi
Mtu anapokuwa ameshikiliwa na Jeshi la Polisi kama mtuhumiwa anayo haki ya kupata mwanasheria ili aweze kumwakilisha mahakamani wakati wa kusikiliza kesi. Ibara ya 13 (6) (b) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, imeeleza kwamba wakati haki na wajibu wa mtu yeyote inapohitajika kufanyiwa maamuzi na mahakama au chombo kingine chochote basi mtu huyo atakuwa na haki ya kupewa fursa ya kusikilizwa kiukamilifu na kuweza kupata nafuu au nafuu nyingine ya kisheria.
 
Mahakama zimetoa tafsiri juu ya Haki ya Uwakilishi kwa mtuhumiwa yeyote. Mtuhumiwa anapaswa kuelekezwa kuwa ana haki ya kupata haki ya uwakilishi toka kwa Wakili haya yalisemwa katika kesi ya Thomasi Mjengi & Wenzake dhidi ya Jamhuri 1992 TLR 157, ambapo Jaji Mwalusanya enzi za uhai wake alisema:-
“Haki ya uwakilishi inahusisha pia haki ya mtuhumiwa kuambiwa kuwa ana haki ya kupata uwakilishi na hayo yasipofuatwa basi maamuzi ya awali yaliyotolewa huwa batili.”
 
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu hakiafiki kitendo cha Polisi chini ya kitengo cha Mkurugenzi wa upelelezi wa makosa ya jinai (DCI), kuwakatalia Mawakili kuweza kumwona mtuhumiwa Abdul Nondo na kuweza kupata haki ya uwakilishi mbele ya vyombo vya utoaji haki.
 
Msimamo wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu
Ili kudumisha utawala wa sheria na haki za binadamu nchini, Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu kinawataka viongozi wa serikali na vyombo vya dola kufuata sheria na kuheshimu haki za binadamu katika utekelezaji wa majukumu yake.
 
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu kinaitaka Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (CHRAGG) kutumia mamlaka iliyopewa kwa mujibu wa sheria kuwachukulia hatua viongozi wanaokiuka misingi ya haki za binadamu na utawala bora.

Imetolewa Machi 15, 2018 na,
Dkt. Helen Kijo-Bisimba
Mkurugenzi Mtendaji

Baada ya kufungiwa, Wambura aibua mapya TFF

$
0
0
Ukimwaga mboga, namwaga ugali ni miongoni mwa misemo maarufu ya lugha ya Kiswahili ambao unaweza kutimia baada ya Makamu wa Rais wa TFF kufungiwa maisha kujihusisha na masuala ya soka kufuatia kutiwa hatiani na kamati ya maadili ya TFF.

Baada ya hukumu kutangazwa, Michael Wambura alizungumza na vyombo vya habari akitoa ufafanuzi wa baadhi ya mambo lakini amesema kufungiwa kwake ni kwa hila na njama iliyopangwa na watu wachache.

Wambura ameibua hoja kadhaa akiituhumu TFF kuajiri baadhi ya watu bila nafasi hizo kutangazwa kama taratibu na kanuni zinavyoelekea, lakini pia ameituhumu tff kutumia kiasi kikubwa cha pesa kwa muda mfupili lakini hakuna kinachoonekana kufanywa kulingana na kiasi hicho cha pesa.

“Ni kweli kulikuwa na kikao lakini bado nasisitiza kilikuwa cha hila kilikuwa ni kikao ambacho kimeandaliwa kwa ajili ya kutoa maamuzi bila kujali hoja ambazo zitakwenda kujadiliwa. Ninasema hivyo kwa sababu siku ya Jumatatu nilikuwa TFF niliongea na Rais wa TFF pamoja na Katibu, Jumanne niliongea na Rais wa TFF lakini wote hawakuniambia kama kuna jambo lipo TFF linanihusu mpaka Jumanne nasafiri hakuna chochote kutoka TFF kuja kwangu lakini jioni saa 12 wanakwenda nyumbani kwangu kupeleka mashtaka.

“Kwa hiyo tayari kuna hila ambazo nilikuwa nimeziona katika jambo hilo, katika mashtaka yao msingi mkuu umeegemea katika kufoji document hakuna anaebisha walikuwa hawadaiwi, wote wanakiri kudaiwa katika barua mbalimbali za TFF lakini wanasema kwamba document zimefojiwa.

“Kiutaratibu kuna njia mbili, njia moja ni kupeleka polisi wakaangalie kama document imefojiwa baada ya kupata majibu ya polisi mnaelekea katika mkondo washeria ndio msingi wa hizi kamati. Hizi kamati haziwezi kuingia mahali ambapo kosa ni la jinai, ufojaji ni kosa la jinai sio la kimaadili kwa hiyo ilipaswa iende katika mfumo wa sheria ya jinai sio mfumo wa kimaadili.

“Kampuni ambayo wanasema document yake imefojiwa ilipaswa iitwe kwa sababu kampuni inaishi na ina wakurugenzi, kwa hiyo wakurugenzi ndio walipaswa kuitwa ikishajulikana hivyo kinachofuata ni kupelekwa polisi na kushtakiwa kama mhalifu mwingine lakini kwa sababu wameona hawana kesi ya msingi wakaamua kukaa na kamati walizoziunda wenyewe ili wamtoe Wambura katika nafasi kitu ambacho hakikubaliki.

“Kwa hiyo ninachoona yote haya ni kutokana na matatizo yaliyopo ndani ya TFF, jambo la miaka 14 iliyopita unataka kulijadili kwa siku moja kwa kumpa mtu notice usiku asubuhi aje mbele ya kamati, viongozi walikuwepo wengi wamepita hapo katikati wote walitakiwa waje kutoa ushahidi lakini hawakuitwa? Kwa nini walilipa? Au aliyelipwa alivunja ofisi?

“Isije ikawa kuna mtu amejilipa ndani ya TFF kwa jina la ile kampuni na kitu ambacho kipo, kuna watu wamelipwa pesa kwa kutumia jina la hiyo kampuni wakati hizo pesa hazijalipwa kwa kampuni ndiyo maana wanashindwa kutoa hizo document ndiyo maana tunasema walete nyaraka za hayo malipo kama hawajaiba wao wenyewe wanashindwa.

“Kama wanasema nimefoji barua nipo tayari twende polisi na mahakamani ndio maana nasema hili jambo limetengenezwa kimkakati halina mashiko hata kidogo ya kisheria, halina ushahidi ni jambo la uongo na kizandiki limetengenezwa na kikundi cha watu ambao wanaamini nikitoka kama mwenyekiti wa fedha mambo yao yatakuwa mazuri.

“Mimi nimechaguliwa na mkutano mkuu kwa zaidi ya kura asilimia 80, siwezi kuondolewa na watu watatu ambao hawakuchaguliwa hawana dhamana ya mkutano mkuu, haiwezekani. Kama unadhani nina kosa kanishtaki kule.

“Ni kweli kwamba kila uongozi unapokuja unakuwa na taratibu zake , sisi taratibu zetu za kiutendaji ni kwamba, nafasi ya katibu mkuu wa TFF lazima itangazwe kama makatibu wakuu wengine walivyopita, nafasi inatangzwa watanzania wenye sifa wanaomba kupitia makampuni ambayo ni huru, wanafanya usaili wanaajiriwa.

“Sisi pale kwetu kuna shida kidogo kuna watu wengine bado wana kazi mbili, kuna mtu mwinngine ameajiriwa huku anakuja pale kama secondment wakati kuna watanzania wengi wanaweza kuomba na kuajiriwa, sasa mtu ana kazi mbili.

“Suala la katibu mkuu anapaswa kuajiriwa, tulipochaguliwa kaimu katibu mkuu alikuwa Salum Madadi kwa sababu madadi alikuwa majiriwa wa TFF kwa hiyo alikuwa anakaimu nafasi kwa sababu alikuwa mwajiriwa wa TFF baadaye tulipokuja kumpa nafasi Wilfred Kidao yalikuwa ni makosa kwa sababu sheria zinakataza mjumbe wa mkutano mkuu kuajiriwa TFF na kidao ni mwenyekiti wa TAFCA hawezi kuajiriwa akawa mjumbe wa mkutano mkuu wakati huohuo.

“Tuna matatizo mengi, TRA wanatudai lakini bado tunakusanya kodi na tunazitumia, tunamatatizo ya fedha za wafadhili tunazihamisha matokeo yake ligi ya wanawake inasimama, wakati mwingine hata ligi kuu inasimama kwa sababu hakuna pesa lakini Azam wamelipa kwa hiyo tuna shida.

“Tunaposema tunataka tuweke nyumba kwenye mstari masuala ya kodi yaeleweke kodi zinazopokelewa na bodi zikalipwe TRA badala ya kuletwa TFF ndio mgogoro unapotokea. Bodi ya ligi ina kusanya kodi toka Azam, na wadhamini mbalimbali lakini kodi zile zinakuja kwetu TFF zikishakuja na kutumika mwenyekiti wa kamati ya fedha akisema hapana sio sahihi inakuwa issue.

“Matatizo mengi tutakuja kuyaona siku chache zijazo, watanzania watanielewa kwamba ndani ya TFF kuna matatizo makubwa sana na sio madogo kama watu wanavyofikiria, siku chache zijazo tutakuja kuyazungumza.

“Tumeshatumia kiasi cha shilingi 3 bilioni ndani ya miezi nane, kuna nini tumefanya? Zinapita tu. Jambo moja linapoanza uzuri wake linafuata na jingine kwa hiyo tutakwenda mpaka mahali tutakuwa sawa na ninaamini watafuata ninachokisema, bado tunahitaji kusafisha TFF kwa sababu haiko sawa.”

Harmorapa: Albamu Ya Diamond Mbaya Kama Sura Yangu

$
0
0
Msanii wa Bongo fleva anayefanya miondoko ya kurap Harmorapa ameibuka na kuiponda Albamu ya Diamond na kudai ni mbaya kama ilivyo sura yake.

Harmorapa alijipatia umaarufu kwa kupenda kiki katika maswali kadhaa kuliko muziki wake na leo ameibuka na jipya kuhusu Albamu mpya msanii wa Bongo fleva Diamond Platnumz.

Albamu ya Diamond inayoitwa ‘A boy from Tandale’ imetoka rasmi jana usiku ambapo ilifanyiwa uzinduzi rasmi nchini Kenya.

Harmorapa kupitia ukurasa wake wa Instagram ameinanga Albamu ya Diamond na kudai ameitangaza sana alafu ametoa kitu kibovu:

"Bro Chibu naye kelele nyingi za Albamu miezi saba mwisho wa siku anatutolea albamu mbovu kama sura yangu sokwe, cha kukushauri Simba kama mkataba wako wa karanga umeisha kaa dukani kwa dada yako Esma umsaidie kuuza vitenge”.

Lakini Harmorapa amejitamba na kudai kuwa albamu yake ambayo atakuja kuitoa itakayoitwa Uthigawepathi itakuwa kali kuliko hiyo lakini pia amesema albamu ya Ali Kiba itafunika kupita maelezo.

Diva: Kama Huna Milioni 500 Huwezi Kunioa

$
0
0
Mtangazaji wa Clouds Fm Loveness Malinzi maarufu kama Diva the bawse amefunguka  kuwa hawezi akaolewa na mwanaume yoyote bila  kutokew mahari ya shilingi milioni 500.

Hii sio mara ya kwanza kwa Diva kuweka kigezo cha kuolewa na mwanaume mwenye pesa mbele kwani mara nyingi amekuwa akisema kuwa hawezi akaolewa kwa mahari ndogo.

Siku ya jana kupitia ukurasa wake wa Instagram Diva amekumbushia Tena vigezo vikubwa kwa mwanaume ambaye atakubali amuoe ambavyo ni awe tajiri kiasi ya kwamba aweze kutoa mahari ya milioni 500 lakini pia awe anajua kuongea kingereza:

"Kunioa ni milioni 500….set that jokes aside am deadly serious….make sure uwe unaongea English yenyewe hasa… uwe smart uwe handsome…..uwe loaded…No broke niggas in 2018 tupendane kwa faida, you can say wheteves just heard worse, seen worse SMHFG Nothing mean to me…..harsh ain’t new to me I heard it all…..Mwenye povu hana hela ruksa na povu lako nina Omo na jiki plus toothbrush na Colgate jus there for you dummy”.

Diva ametangaza ruksa mwenye hizo sifa ajitokeze hii imekuja baada ya kuachana na mpenzi wake msanii wa Bongo fleva Heri Muziki baada ya kutoswa hewani.

Ushuhuda: Nilimlisha Mume Wa Mtu Limbwata La Nyama Ya Bundi

$
0
0
USHUHUDA  WA   THEOFLIDA  WA  YESU : NILIMLISHA  MUME  WA  MTU, LIMBWATA  LA  NYAMA  YA  BUNDI.

Nawasalimu  wa  jina  la  YESU,  jina  kuu  kupita  majina  yote. Jina  langu  ninaitwa  Theoflida , ni mwanamke  mwenye  umri wa  miaka  38  mkaazi  wa    Mbezi  ya  Kimara  jijini  Dar  Es  Salaam, japo kiasili  ni  mwenyeji  wa  wilaya  ya  Ulanga, mkoani  Morogoro..

Nime amua  kuandika  waraka  huu  kwa  madhumuni  makuu  mawili, kwanza  ni  kushuhudia  MATENDO  MAKUU  ambayo  YESU  AMENITENDEA  na  pili, ni  kuwa  hasa  wanawake  wenzangu  kutojihusisha  kabisa  na   masuala  ya  WAGANGA  WA  KIENYEJI  kwa  sababu  waganga  wa  kienyeji ni  MAWAKALA  WA  KAZI  ZA  SHETANI  HAPA  DUNIANI  na   ni  MASHETANI  KABISA!...

Nitaanza  kwa  kuelezea  kisa  kilicho  nipelekea  kuingia  kichwa  kichwa  kwenye  mikono  ya  wakala  wa  shetani..

Nilikuwa  nimepanga  chumba  kimoja  maeneo  ya  Tabata  Mawenzi  huku  nikijihusisha  na  biashara  ya  genge.  Jirani  na  nyumba  niliyokuwa  nimepanga, aliishi   mwanaume  mmoja  na  mke  wake. Mwanaume  huyu  jina  lake  linaanzia  na  herufi  K  hivyo  katika  maelezo  yangu  nitakuwa  nikimtaja  kwa  herufi  K.

K  alikuwa  ni  mwanaume  mwenye  mafanikio  makubwa  katika  maisha  mwenye  kazi  nzuri.   Alikuwa  na  nyumba  zaidi  ya  moja, magari  ya  kifahari. viwanja , mashamba, na miradi mbalimbali  iliyokuwa  ikimlipa  vizuri  sana. Kwa  ufupi    K alikuwa  tajiri  mwenye  maisha  mazuri.

K  na  mke  wake  wote  walikuwa  wenyeji wa  wilaya  ya  Muleba,mkoani  Kagera .  Ndoa  ya  K  na  mkewe  ilikuwa  na  umri  wa  mwaka  mmoja...

 K  na  mke  wake  waliishi  maisha  mazuri  sana....Kwa  sababu  ya  ugumu  wa  maisha  yangu, nikajikuta  naanza  kutamani  maisha  ya  mke  wa  K..  Nikawa  natamani  mimi  ndo  ningekuwa  mke  wa  K  na  kufurahia  maisha  vile  mke  wa  K  alivyo  kuwa  akifurahia. Nilimuona  mke  wa  K kama  mtu  mwenye  bahati  sana  na  kutamani  bahati  hiyo  iwe  yangu.

Baada  ya  wazo  hili  kukomaa  ndani  ya  nafsi  yangu, nikaanza  kutafuta  njia  ya  kumteka  K kimapenzi na  kuchukua  nafasi  ya  mke  wake. Njia  pekee  niliyo  ona  inafaa, ni  kutumia  uchawi.

 Sasa  basi, kuna  rafiki  yangu  mmoja, anaitwa  Pamela. Pamela  alikuwa  anapenda  sana  mambo  ya  waganga  waganga, kwa  hivyo  alikuwa  anawajua  waganga  wengi. Hata  katika  biashara  yangu  ya  genge, alishanipeleka  kwa  waganga  kadhaa  kwa  ajili  ya  kupata  dawa  ya  mvuto  wa  bishara  yangu..

Nilipo  mfuata  Pamela, akaniambia  kuna  mganga  mmoja, ni  mkali  sana  wa  mambo  ya  mapenzi.. Mi mwenyewe  nina  mpango  wa  kumtafuta  lakini najipanga  kwanza  kwa  sababu  bei  zake  ni  kubwa.

Pamela  akasema  alimfahamu  mganga  huyo alipokuwa  katika  kijiji  cha  Mwalusembe, wilayani  Mkuranga..  Siku  hiyo  kuna  fumanizi  lilitokea, mwanaume  alikuwa  anatembea  na  mke  wa  mtu, kumbe  huyo  mwanamke  alikuwa  amewekewa  tego, huyo mwanaume  alipo  muingilia  mwanamke  huyo, wakawa  wamenasana.. Baadae  ikatafutwa  namba  ya  simu  ya mume  wa  mwanamke.  Mume  alipofika  kufumania, akakuta  mke  wake  amenasana na  mgoni  wake.. Akaitwa  huyo  Mganga   kwa  sababu  ndie  aliye  weka  hilo  tego,  alipofika  eneo  la  tukio  alifanya   uganga  wake, wale  wagoni  wakawa  wameachana.. Tukio  hilo  lilivuta  watu  wengi  sana..   Kwa  hiyo  Pamela  anasema, alimjulia  mganga  huyu  kwenye  tukio  hilo... Akafanikiwa  kutafuta  na  kupata  namba  zake.

Pamela   akanipa  namba  za  simu  za  mganga  huyo, nilivyo  mpiugia  akasema  yupo Handeni  kikazi  ila  baada  ya  siku  tatu  atakuwa  Bagamoyo ambapo  atakaa  hapo  kwa  mwezi  mzima  aki  agua  watu wenye  matatizo  mbalimbali.

Kweli  baada  ya  siku  ya  tatu, nikaenda  hadi  Bagamoyo  kuonana  na    huyo  mganga  ambaye  jina  lake  tu ni  kufuru  kubwa  kwa  Mungu.,. Yeye  anajiita  MUNGU  WA  KABILI  ambayo  tafsiri  yake  ni  MUNGU  WA  PILI.  Lakini  pia  nilishangaa  kumuona  mganga  mwenyewe anaokena  bado  kijana  ambaye sidhani  kama  ana  fikisha  miaka  arobaini.

NAANZA   KWA   KUPIMWA  MWILI  WANGU  KICHAWI
Mungu  wa  Kabili  akasema  kabla, hajaanza  kazi  ya  ‘kumtengeneza’   K , inabidi aanze  kwanza  kuuangalia mwili wangu  ili ajue  kama  ni  msafi  ama  mchafu.

Basi   nikapewa  dawa  nimeze, halafu  nikaambiwa   Yule kuku mweusi ambaye nilienda  nae mwenyewe,  nimshike  kichwani.  Baada  ya  hapo, Dokta  Mungu  wa Kabili  akaanza  kuongea  maneno  yake  ya  kiganga  huku  akiwa  ameshikilia  chungu  chenye  dawa  iliyo  katika  mfumo  wa  maji  maji.. Alifanya  hivyo  kwa  muda  wa  kama  dakika  kumi  na  tano  hivi. Alipomaliza  kufanya  uganga  wake, akaniambia  nimtue  Yule  kuku  mweusi  niliekuwa  nimembeba  kichwani.  Nilipo  mtua  nikashangaa  kumuona  kuku  Yule  amekufa.  Niliogopa  sana .

Basi  Mungu  wa  Kabili, akaniambia  mwili  wangu  ni  mchafu  sana. Roho  ya  mauti  imepandwa  kwenye  mwili  wangu. Hivyo  lazima  anisafishe  kwanza, kutoa  uchafu  ulio pandikizwa  mwilini  wangu  kichawi. Baada  ya  hapo  ndio  tutaendelea  na  zoezi  la  kumfanyia  ulozi  K.

Mungu  wa  Kabili  akaniambia  niende  nyumbani, nirudi siku inayo fuata  jioni  ya  saa  kumi  na  mbili  nikiwa  na  sarafu  350  za  shilingi   mia  mbili  mbili  ambazo  jumla  yake  ni  Shilingi  Elfu  Sabini, mchanga  wa  njia  panda  saba, pamoja  na  wembe  tatu..

NASAFISHWA   MWILI  WANGU  KICHAWI.
Ilipo  fika  saa  sita  kamili  za  usiku, mimi  , Dokta  Mungu  Wa  Kabili  pamoja  na  msaidizi wake, tukaongozona  hadi  njia  panda. Njia  panda  hiyo  ipo   huko  huko  Bagamoyo  porini..

Tulibeba, kigoda, chungu , vifaa  nilivyo kuja  navyo ( mchanga, wa  njia  panda  saba, sarafu 350, pamoja na asali  nusu lita ),  mawe  matatu,  mishumaa ya  rangi  nyekundu, mkaa, pamoja  na  dawa  nyingine  zilizokuwa  kwenye  vibuyu  kama  saba  hivi.

Tulipofika  eneo  la  njia  panda, Mungu  wa  Kabili, alizungushia  dawa  kuzunguka  eneo   tulipoweka  vitu vyetu, akamuagiza  msaidizi  wake, awashe  mishumaa  ambayo  idadi  yake  ilikuwa  kumi  na  nne, mishumaa  hiyo  iliwekwa  kuzunguka  eneo  tulilokuwa  sisi. Baada ya  hapo, ukawasha  moto, kwenye  mafiga  kisha  chungu  kikatengwa  pale, nikaweka  vitu vyangu  vyote  nilivyo  kuja  navyo, na  yeye  Mungu   wa  Kabili, akachanganya dawa  zake  anazo zijua  mwenyewe…

 Baada  ya  kama  dakika  arobaini  hivi, zile  dawa  zikawa  zimecheka, nikapewa  kibuyu  nikaambiwa  nikoge kwa  kuchota  maji  ya  kwenye  chungu  huku  chungu  kikiwa  kinachemka. Nikafanya  kama  nilivyo  elekezwa  huku  mganga  akiwa  anaongea  vitu  vyake  vya  kiganga  ambavyo  sikuweza  kuvielewa..

Nilipomaliza  kuoga, mganga  akanichanja  karibu  mwili  mzima, kisha  nikapakwa  hiyo asali. Baada  ya  hapo, tukarejea  kilingeni .  Mungu  wa   Kabili  akaniambia  nipumzike, ikifika  saa  kumi  na  moja  alfajiri  niamke  kwa  ajili  ya  kupikwa. Akasema  zoezi  la  kwanza  lilikuwa  kunisafisha na  kuniosha  kwanza, ambalo  limeshakamilika,  kinacho  fuatia  ni  kupikwa.

NAPIKWA   KICHAWI…
Ilipofika alfajiri  nilidamka, kama  nilivyo  agizwa  na  mganga  kwa ajili  ya  zoezi  la  kupikwa  kichawi.. Nikaelekezwa  kuingia  katika  chumba  maalumu  ambako  kulikuwa  na  chungu  kikubwa. Ndani  ya  chungu  hicho  yaliwekwa  maji  ya  baharini, majani  ya  mti  unaitwa  muosha  fedha  ama  mfedha  mfedha, majani  ya  mkaratusi  pamoja  na  majani  ya  mti  unaitwa  mkuyu, halafu  ndani  yake  zikawekwa  sarafu  zilizoisha  kutumika  muda  wake, pamoja  na  dawa  nyingine  kama  tano  hivi ambazo sikuambiwa  ni  dawa  gani…

Baada  ya  hapo, nikaambiwa  nikatwe nywele  zangu, pamoja  na  kucha  zangu. Baada  ya  kukatwa  nywele  zangu, vitu  vyote  hivyo  vikachukuliwa vikafungwa  kwenye  kitambaa  chekundu, ndani  ya  kitambaa  hicho  zikaongezwa  dawa  nyingine , halafu vikawekwa kwenye  chungu  kwa  ajili  ya  kupikwa.

Katika  chungu  hicho  pia  vikawekwa  visu  saba, vikiwa  vimesimama.  Baada  ya  kama  dakika  kumi  na  tano  hivi, mganga  akamwambia  msaidizi  wake, ‘ hebu  ongeza  chumvi  humo ‘. Nikatarajia kuona   itakuwa  chumvi  ya  kawaida  ninayo  ijua  mimi, ila  nikashangaa  kuona kinawekwa kipande  cha  mti..

Baadae  nilikuja  kugundua  kuwa,  katika  uganga  na  uchawi  kuna  kitu  kinaitwa  ‘Chumvi ya   Kichawi” kazi  ya  chumvi ya  kichawi  ni  kuukoleza  uchawi  ama  kukoleza  nguvu  ya  dawa.

 Mganga  aliniambia  vitu  vyangu  yaani  nywele  pamoja  na  kucha  vinaniwakilisha  mimi, kwa  hiyo kupikwa  kwa  vitu  vyangu  kunamaanisha  mimi  ndio  nimepikwa. Baada  ya  dawa  kupikwa,   nikapewa  maji  yale  na  kuelekezwa  kwenda  kuoga. Nikaambiwa  nikimaliza  kuoga  niende  nikapumzike  kwenye  chumba  change  hadi  nitakapo  pewa maelekezo  mengine.

NAFANYIWA   TAMBIKO  LA   JUA .
Ilipo  fika  saa  sita  mchana, nikapewa  dawa  Fulani  ya  kujipaka,  halafu  nikapelekwa  kwenye  eneo  la  juani, ambalo  chini  kuna  mchanga.  Hairuhusiwi  kuwa  katika  eneo  hilo  ukiwa na  viatu.   Baada  ya  kukaa  katika  eneo  hilo  kwa  kama  dakika  arobaini  hivi , mganga  alianza  kufanya  uganga  wake  pale  huku  akitamka  maneno  yake  ya  kiganga. Baada  ya  hapo, akanifuata  akanikabidhi  kibuyu  mkononi na  kuniambia nikishike  kwa  mikono  yangu yote  miwili kisha  nizungumz  nizungumze  maneno  yafuatayo :

“  EWE  JUA!   MIMI  NA  WEWE, TU KITU  KIMOJA  SASA!  WEWE  NI  MIMI  NA  MIMI  NI  WEWE. HAKUNA  MTU  YOYOTE  YULE  AWEZAE  KUTUTENGANISHA.

EWE  JUA!TANGU  UANZE   KUWEPO, HAUJAWAHI KUISHIA  NJIANI.

VIVYO  HIVYO, MIMI  PIA, SITO  ISHIA  NJIANI. NITAFANYA  MAMBO  YANGU  YOTE, NITAISHI MIAKA  YANGU  YOTE  KWA KADRI MWENYEZI  MUNGU  ALIVYO  NIKADIRIA , WALA HAKUNA  MTU  YOYOTE  YULE  ATAKAE  WEZA  KUNIZUIA, KWA  CHOCHOTE  KILE  NITAKACHO  TAKA  KUKIFANYA…

KAMA  WEWE  JUA  UMEWAHI  KUISHIA  NJIANI, BASI MIMI  PIA, NITAISHIA  NJIANI. NA  KAMA KUNA  MTU  ANAWEZA  KUKUZUIA  WEWE  JUA, BASI  MIMI  PIA  NAWEZA  KUZUILIKA. LAKINI  KWA  KUWA  WEWE  JUA  HAUJAWAHI  KUISHIA NJIANI, MIMI  PIA, SINTOISHIA  NJIANI. NA  KWA KUWA  HAKUNA  MTU  YOYOTE  ANAYE  WEZA  KUKUZUIA  WEWE  JUA, BASI  MIMI  PIA, HAKUNA  MTU  YOYOTE  ATAKAE  WEZA  KUNIZUA…

Niliagizwa  kutamka  maneno  haya  mara  arobaini.  Kila nilipo maliza  kutamka, nilinyweshwa  dawa  na  mganga, kutoka  kwenye  kibuyu  alicho  kuwa nacho…

Baada  ya  zoezi  hili  kukamilika  tulirejea  kilingeni  ili  lianze  zoezi  la  ‘ kumtengeneza’   K, mume  wa  mtu  mwenye  pesa.

NAPEWA   DAWA  ZA  KUMTEGA  “K”
Tulipo rudi  kilingeni, Mungu  wa  Kabili  akaniambia  nimpe  majina  yangu  kamili  pamoja  na  jina  la  huyo mwanaume  ninae  mtaka. Nikafanya  kama  alivyo  niambia. Akayachukua  yale  majina, akaandika  andika  vitu  vyake  ambavyo  sikuvijua  vizuri, baada  ya  hapo  akachukua  kioo  chake, akawa anatazama  kwenye  hicho kioo, kisha  akachukua  dawa  kutoka  kwenye  kibuyu, akaweka   kwenye  chungu  ambacho  ndani  yake kulikuwa  na  maji…. Baada  ya  kama  dakika  kumi  na  tano  hivi, akaniangalia  halafu akacheka  sana.. Akaniambia  niweke  kiganja  changu   kwenye  kile  chungu  nikafanya  hivyo..

Basi  akachukua  dawa  kutoka  kwenye  vibuyu  vitatu, ambazo  alizifunga  kwenye  vitambaa  vitatu  tofauti  kila  kitambaa  na  dawa  yake, kisha  akanipa  dawa  hizo na  kunipa  maelekezo  yafuatayo : Dawa  ya kwanza, utakunywa  na  maji  ya  kawaida, dawa  ya  pili, utaifunga  kwenye  mto  unao  lalia, halafu  dawa  ya  tatu  utaiweka  chini ya  kitanda  chako.

 Ndani  ya  siku  mbili  hizi, kuna  kitu  utakiona  ukiwa  umelala  usiku. Kitakujia  katika  ndoto. Kitu  hicho  kina  uhusiano  na  mwanaume  unaye  mtaka. Uki kiona  kitu  hicho  tu, basi haraka sana  nipigie  simu  nikuelekeze  kitu  cha  kufanya.. Nikazichukua  hizo  dawa  na  kufanya  kama  nilivyo  elekezwa.

NAMUONA   “ K” KWENYE  NDOTO.
Siku ya  kwanza  sikuona  chochote, ila  usiku  wa siku  ya  pili, nikiwa  nimelala  usiku, niliijiwa na  ndoto ya  ajabu . Katika  ndoto  hiyo, nilimuona   K  akiwa  anatembea  kuja  mahali  kilipo  kibanda  changu  cha  genge.

 Alipofika  kwenye  kibanda changu alisimama  na  kuniulizia  kama  nina  hiriki. Kabla  sijamjibu, ndoto  ikakatika  ghafla… Nilipo stuka  na  kutazama  saa  ilikuwa  majira  ya  saa  sita  na  ushee  usiku.

Hapo  hapo  nikampigia  simu  Mungu  wa  Kabili  na  kumueleza  nilicho  kiona  ndotoni… Akaniambia  vizuri  sana, kisha  akaniuliza, je  hilo  eneo   ambalo  umemuona  huyo  mwanaume  akiwa  anatembea, unalifahamu. Nikamjibu  ndio  nalifahamu.  Akaniambia, kesho  saa  kumi  na  mbili  alfajiri, nenda   kamwagie  ile  dawa  niliyo  kwambia  uitunze  chini ya  kitanda.  Baada  ya  hapo  akaninisisitizia, “ Ukiisha  fanya  nae  mapenzi,  uje  unione haraka  iwezekanavyo,  tufanye  dawa  za  kumfunga..

Nikafanya   kama  alivyo nielekeza, alfajiri  ya  saa kumi  na  mbili, nikadamkia  katika  eneo  hilo, kisha  nikamwaga  ile  dawa  halafu  baada  ya  hapo  nikarudi zangu  nyumbani  kujiandaa  na  kufungua  genge  langu.

NAINGIA   KATIKA   UHUSIANO  WA  KIMAPENZI  NA  “K” MUME  WA  MTU.
Saa  mbili  asubuhi  nilifungua  genge  langu,  nakumbuka  siku  hiyo  ilikuwa  Jumamosi. Mida  ya  kama  saa  nne  hivi,  K  alikuja  hadi  gengeni  kwangu  na  kununua  vitu  mbalimbali  vya  genge, kama  vile  karoti, nazi,pilipili manga  nakadhalika  na  kurudi kwake.

 Baada  ya  kama  masaa  mawili  hivi, K  alirejea  tena  pale  gengeni  kwangu, na  kuchukua  vitu  vingine  zaidi, halafu  akaomba  namba  yangu  ya  simu,  aka save  namba  yangu  na  mimi  nikachukua  yake, kisha  akaondoka zake.

 Baada  ya  kama  nusu  saa  hivi, K  akaanza  kunitumia  meseji  za  kunisifu. Alianza  kwa kuniambia  mimi ni  mwanamke  mchapakazi,  najituma  sana , nna  hasira  na  maisha , nnafaa  kuwa  mama kwa  sababu  hata  mume  akifa  anakuwa  na  uhakika  watoto  wake  anawaacha  na  mwanaume  imara.. Mwisho  wa  siku  akanitongoza, na  mimi  sikulazia  damu. Kesho  yake, mimi  na  K tukakutana  kimwili  kwenye  hoteli  moja  iliyopo  maeneo ya  Mbezi Beach.

Siku  hiyo  K  akaniambia  niachane  na  kazi  ninayo  ifanya, atanitafutia  biashara  nzuri  ya  kufanya, pia  nihame  pale  nilipo  kuwa  nakaa, atanipangia  nyumba  inayo  endana  na  hadhi  yake.

NAPEWA   DAWA   ZA   KUMPUMBAZA   MUME  WA  MTU.
Mungu   wa  Kabili  aliniambia, nikisha  fanya  mapenzi  na  huyo  mwanaume, niende  kwake ili  anipe  dawa  za  kumpumbaza. Nilipofika   akaniambia, vitu  vinavyo  hitajika  katika  kutengeneza  hiyo dawa  ya  kumpumbaza  huyo mwanaume, ni  NYWELE  ZA  MWANAUME  MWENDAWAZIMU,  NYWELE  ZA  MWANAUME  ASIYE  SIKIA ( KIZIWI ) , NYWELE  ZA  MWANAUME  KIPOFU  AU  FIMBO  ILIYO TUMIWA  NA  MWANAUME  KIPOFU,  KAMBA  ILIYO  TUMIKA  KUMFUNGA  KONDOO ,  pamoja  na  UCHAFU  WA  JALALANI.

Vitu vyote  hivyo  vilitafutwa  vikapatikana, vikachanganywa  na  dawa  nyingine  za  kichawi,kisha  vikatumika  kutengeneza   uchawi. Nikaambiwa  nitamuwekea  kwenye  maji  ya  kuoga na  nyingine  nitamuwekea  kwenye  chakula .
Halafu  nikapewa  na kibuyu, ndani  ya  kibuyu  kile kulikuwa  na  kipande  cha  nyama. Mganga  akaniambia  hiyo  ni  nyama ya  ndege  wa  usiku  mwana  wa  jinni, ambayo  baadae  nilikuja  kujua  kuwa  ni  Bundi  wa  Kichawi, ambae  ni  tofauti  na  bundi  wa  kawaida.

  Mganga   akaniambia   utapika  nyama, katika  nyama  utakayo  pika ambayo  utamuwekea   ndumba, mwanaume  wako, utachanganya  na  nyama  hiyo, pamoja  na  kucha  zako, na  nywele  zako  za  siri.

Nilipo  rudi  nyumbani, nikafanya  kama  nilivyo elekezwa.

Baada  ya  kufanya  uchawi  huu, K   alikuwa  kama  mwendawazimu  kwangu, hakusikia  wala  kuambiwa  na  mtu  yoyote  Yule. Akawa  anafanya  kila  ninacho  taka  akifanye  mimi.  Akaanza  kuwa  ananipa  mali  zake, magari, viwanja, nyumba, biashara  pamoja  na miradi  yake..

NATEGA  UCHAWI  WA  KUTOA  MIMBA  YA  MKE  MWENZANGU.
Mapenzi  yangu  na  K   yalipamba  moto,  nyumba  aliyo  nipangishia  haikuwa  mbali  sana  na  mahali  alipokuwa  anaishi  yeye  na  mkewe, wao  walikuwa wanaishi  Tabata  Mawenzi, mimi  akanipangia  nyumba  nzima  Tabata  Kimanga.

K alihama   kwa  mke  wake, akawa  anaishi  nyumbani  kwangu.  Taarifa  za  K  kuishi  na  “mchepuko”  zilimfikia   mke wake, lakini  hakuwa  na  kitu  cha  kufanya  kwa  sababu  K  alikuwa  ndio  anamuweka  mjini  yeye  na  familia  yake  na  mwanamke  alikuwa  mama  wa  nyumbani  tu.

Mara  nyingi  K  alikuwa  ananishauri  amfukuze  mke  wake, ili  nikaishi  nae  kwenye  nyumba yake, ili  kuninonyesha  kuwa  ananipenda  sana  na  mimi  ndio  kila  kitu  kwake.

 Ila  kuna  kitu  kimoja, alinifundisha   Mungu  wa  Kabili, kwamba  unapokuwa  mchawi, unatakiwa  uwe  mnafiki. Usiache  kabisa  watu  wajue  kwamba  una jambo  Fulani  kwa  sababu  ya  uchawi .  Hivyo  nikawa  najifanya  kama  namuonea  huruma  mke  wa  K  lakini  moyoni  nilikuwa  nataka  afukuzwe  mimi  nikakae, pale.

Kuna kitu  kimoja  kilikuwa  kinaniumiza  moyo. Mke  wa  K  alikuwa  na  ujauzito  wa  kama  miezi  mitano hivi.  Sikutaka  mwanamke  huyo  azae  na  K   kwa  sababu  nilijua, angezaa  na K  mtoto  angekuwa  kiunganishi  kwao,  Mimi  nilitaka  K  akisha  achana  na  mke  wake, basi iwe  ndio  moja  kwa  moja  na  kusiwe  na  chochote  cha  kuwaunganisha. Hivyo  nikaanza  kupanga  njama  za  kuharibu  ujauzito  wa  mke  wa  K kwa  kutumia  uchawi.

Suala  hili  nikalifikisha  kwa  Mungu  Wa  Kabili. Mungu  wa  Kabili  akaniambia  nitakupa  dawa utaenda  kutega  kwenye  mlango  wake.   Mti huo  ni  wa  ajabu  sana. Jina  lake  linafanana  na  jina  la  moja  kati  ya  wilaya  zilizopo  kusini  mwa  Tanzania  bara.

Baada  ya  kupewa  dawa  hiyo, nikafanya  ujanja  nikaenda  kuitega  kwenye  mlango anaoutumia  kupita. Alipo ruka  mimba  ikatoka. Kutoka  kwa  mimba  ya  mke  wa   K  kulinipa  sababu  ya  kurudi kwa  mganga  kwa  ajili  ya  kuwatenganisha  kabisa  K  na  mke  wake. Nilijua, majirani  wangesema  K  kamuacha  mke  wake  kwa sababu  mke  ana matatizo  ya  uzazi.

NAMTENGANISHA  K  NA  MKE  WAKE.
Nikarudi kwa  mganga  ili  tufanye  uchawi  wa  kumtenganisha  K  na  mke  wake.   Mganga alichukua  nyoya  la  ndege ambaye  simfahamu  jina  lake, pamoja  na  dawa  ambazo  sikuzijua  pia, akachukua  majina  ya  K na  mke  wake, akaenda  kuchoma   jalalani.

Alipomaliza  hapo, tukaenda  kaburini, kwa  ajili  ya  kuuzika  rasmi  uhusiano wa  K  na  mke  wake. Baada  ya  kuzika  uhusiano wa  K  na  mkewe, yalifanyika  matanga  kwa  ajili  ya  kuomboleza  “kifo’ cha  ndoa  ya K. Mganga  alisema, kitu  kilicho  kufa, kinastahili  kupewa  maziko  ya  heshima. Usipofanya  hivyo, roho  ya  kitu  hicho  itakusumbueni.

 Niliporudi  mjini  nikakuta    mke  wa  K  kaondoka  kwake, kahamia  kwa  dada  yake. Mimi  nikahamia  moja  kwa  moja  kwa  K nyumba  niliyokuwa  nimepangiwa  Kimanga  nikamuweka mdogo  wangu  wa  kiume.

NAANZA   KUFUATILIWA   NA  NDUGU  WA  MKE  WA  ‘K’.
Ndugu  wa  mke  wa  K  hawakufurahishwa  na  kuachana  kwa  K na mkewe, hivyo  wakafanya  kila  juhudi  kuwapatanisha, lakini  msimamo  wa  K  ulikuwa  ni  ule  ule, kwamba  hataki  tena kuwa  na  mke  wake  na  ameamua  kuishi  na  mwanamke  mwingine  ambae ni  mimi.   K  alikataa  hata  kushiriki  kwenye  vikao  vya  usuluhishi. Ndugu  wote  wa  upande  wake  na  upande  wa  mke  wake  wakawa  wamemsusia  K.

Watu  wawili    hawakutaka  kukubaliana  na  matokeo. Nao  ni  baba  wa  mke  wa  K, pamoja  na  kaka  mkubwa  wa  mke  wa  K. Watu hawa waligundua  kilichotokea  kati  ya  K  na mke  wake  sio  hali  ya  kawaida bali  ni nguvu  za  ushirikina. Hivyo  wakaamua  kutafuta  suluhisho  kwa  waganga.   Walipo  zunguka    kwa  waganga, hawakufanikiwa, hadi  wakakata  tamaa kunidhuru  kwa njia  ya  uchawi.

Mwisho wa  siku  wakaamua, kunikodia  majambazi, waje  wanipige  risasi. Walijua  mimi  ndio  kikwazo  kwa  mtoto  wao  kurudiana  na  mume wake, hivyo  njia pekee  ikawa  ni  kifo  tu.

Nilisurika  kuuwawa na  majambazi  zaidi  ya  mara  saba. Wakati  huo  Mungu  wa  Kabili  alikuwa Lubumbashi  nchini  Kongo  kwa  shughuli  zake.  Alipo  rejea  nikamfuata  kwa  ajili  ya  kuomba  ulinzi  wake.

Kuna  mnyama  mmoja  wa  mwituni, ana  ndimi  mbili, yani  ulimi  wake  una  ndimi  mbili, Mungu  wa  Kabili  akatafuta  ulimi  wa  mnyama  huyo, mavi  ya  chatu  pamoja  na  dawa  zingine  anazo  zijua, lengo  lake  likiwa  ni  kuwatenganisha  na  kuwafarakanisha  baba  na  kaka  wa  mke  wa  K  ili wasipate  nafasi  ya  kukaa  pamoja  na kunifuatilia.

Halafu  baada  ya  hapo, akaagiza  nipeleke  mchanga  wa  kwenye  kaburi  la  mtu  aliyepita  duniani bila  kuonekana, ili  anitengenezee  dawa  ya  kuwafunga  adui  zangu  wasinione. Pamoja  na  hivyo, akanipa hirizi  iliyo  tengenezwa  kwa   Mti  Mkuu wa  Wachawi.

Katika  ulimwengu  wa  wachawi, mtoto  aliye  kufa  akiwa  tumboni  kwa  mama  ake. Huitwa  mtu  aliyepita  duniani  bila  kuonekana.

Nilivyo  mpelekea  udongo wa  kwenye  kaburi la  mtu  aliye  pita  duniani  bila  kuonekana, mganga  akauchukua  akafanya  ulozi wake, halafu tukaenda  wote  hadi  mtoni, akaenda  akatega  ndumba zake, pale, kesho  yake  tukakuta  chura  amenasa  pale.

Wachawi  wana  amini, roho  za  watoto  wanao  kufa  kabla  hawajazaliwa, huwa  zinaenda  kuishi   mtoni  kama  Chura. Lakini  sio  chura  wote  wapo  hivyo, ni  baadhi. Waganga  wana  utaalamu  wao  wa  kujua  chura yupi  anahusika  hapo.

Basi  kaka  na  baba  wa  mke  wa  K, walikosana  kwa  ugomvi  mkubwa, kiasi  mtoto  akawa anamtukana  baba  ake  mzazi  tusi  la  mama. Na  kuhusu  vitisho  vya  majambazi havikutokea  tena

NATUMIA  UCHAWI  KUOKOA  UHUSIANO  WA  KAKA  ANGU.
Kaka  angu  ambaye  nimempita  miaka  mitano, alikuwa anaishi  kwenye  nyumba  ambayo K  alinipangia. Nyumba  hii  ilikuwa  maeneo  ya  Tabata   Kimanga.  Kaka  angu    alikuwa  katika  uhusiano  wa  kimapenzi  na  mwanamke  ambaye  alikuwa  Baa  Medi  kwenye  bar  inaitwa  Mawenzi  Garden.

Alimuachisha  kazi  ya  ubaa  medi  baada  ya  mimi   kumuwezesha  kiuchumi  kutokana  na  hela  na  mali  nilizo hongwa  na  K  pamoja  na  kumpa  mradi  mmoja  wa  K  ausimamie.  Mdogo  wangu alimpenda  sana  mwanamke  huyo .

Ila  tatizo  moja  la  mwanamke  huyo, alikuwa  na  tabia  ya  umalaya. Umalaya  ulikuwa  kwenye  damu  yake .

Basi  siku  moja  mdogo  wangu  alikuja  kwangu  kunishitakia  kuhusu  tabia  ya  wifi  yangu.  Mdogo  wangu  alikuwa  anampenda  sana  mwanamke  huyo, na  alikuwa  hawezi  kumuacha  kwa  sababu  yoyote  ile,  ila  alikuwa  anamuumiza  sana  kwa  sababu  ya  tabia  yake  ya  umalaya.

“ Ninampa  kila  kitu  huyu mwanamke, ninampa  hela,  nimemfungulia  biashara, nimempa gari, nawasomesha  wazazi  wake  na  kusaidia  familia  yake,. Lakini  haridhiki  tu, mwisho  wa  siku  anatumia  hela  ninazo  mpa  kuhonga  wanaume  wengine.. ( HELA , GARI  NA  VITU  VYOT  AMBAVYO MDOGO  WANGU  ALIKUWA  AKIMPA  WIFI  YANGU,  VILIKUWA   MALI  YA  K  ALIZO CHUMA  KWA  JASHO LAKE  NA  MKE  WAKE)

Nilimuonea  huruma  sana  mdogo  wangu, na  nikaamini  sio  akili  yake  ila  atakuwa  amerogwa  na  mwanamke  Yule. ( UNAJUA  UKIWA  MSHIRIKINA, KILA  KITU  UNAKUWA  UNAAMINI  KIMESABABISHWA  NA  USHIRIKINA  )

Nikamwambia  mdogo  wangu  usijali, kesho  nitakwenda  Bagamoyo  kwa  mtaalamu wangu, nitamuelezea  tatizo  lako, halafu  nitamsikia  atakacho  niambia,  nitakujulisha, ila  usijali  kama  mwanamke  huyo  amekufanyia  mambo  ya  Kiswahili, itajulikana tu  na  utakuwa  huru.

Nilipo fika  kwa  Mungu  wa  Kabili, nikamueleza  kila  kitu, akaniomba  majina  ya  mdogo  wangu  pamoja  na  jina  la  huyo  wifi  yangu, akatazama  kwenye  radar  zake, halafu  akacheka  sana.

Mungu  wa  Kabili  akaniambia, hakuna  haja  ya  kumfunga  mwanamke  huyu. Huyu  mwanamke   ana  sumbuliwa  na  damu  ya  umalaya. Umalaya  upo  kwenye  damu  yake.   Hata  tukimfunga  kwa  mdogo  wako, tutakuwa  tunajisumbua  tu, atampenda  sana  mdogo  wako, lakini  atatoka nje  tu  kwa wanaume  wengine. Hapa  cha  msingi,  afanyiwe  dawa  ya  kumfanya  aache  umalaya.

Mungu  wa  Kabili  akachukua  dawa  moja  inaitwa  GEGEZI. Hii  Gegezi  ina  ukubwa  kama  tunda  linaitwa  DADANSI na  ina  mibamiba.

 Halafu  akachukua  dawa  nyingine  ambayo  ni  chakula  cha   ndege  mmoja wa  porini. Ndege  huyo  simkumbuki  jina  lake, ila  ni  mweusi, ana mdomo  mrefu, ndege  huyu  akilia, vinyonga  wote  waliopo  katika  eneo  hilo  wanakimbia, huwa  anakula  vinyonga  pia.,

Sasa  ndege  huyu  huwa  anakula  majani  ya  mti  Fulani  wa  porini  ambao  nimeusahau  jina  lake, hayo  majani  ndio  ambayo  Mungu  wa  Kabili  aliya  chukua.

Kitu  kingine  akachukua   majani  Fulani hivi, hayo  majani  ndio  majani  pekee  yanayo  liwa  na  mnyama  wa  porini  ambae  chakula chake  kikuu  ni  nyama.

 Pamoja  na  dawa  hizo  akachanganya  na  dawa  zake  nyingine  ambazo sikuweza  kujua  ni  dawa gani, halafu  akaagizwa  itafutwe  minyoo ipatayo  saba. Vito  vyote   hivyo  vikaunguzwa  pamoja  kwenye  chungu, hadi  vikawa  unga  unga  halafu  vikachanganywa  na  mafuta   ambayo sikujua  ni  mafuta  ya  kitu  gani.

Mungu  wa  Kabili  akanipa  dawa  hiyo  akaniambia  mpelekee  kaka  ako. Mwambie  akiwa  anafanya  mapenzi  na  huyo mwanamke  wake, afanye  ujanja  wake, achovye  kidole  chake  kwenye  hiyo  dawa  halafu  akichomeke  kwenye  uke  wa  mwanamke   huyo.

Tangu  siku  hiyo, mwanamke  huyo hatokuwa  Malaya  tena .  Nikafanya  kama  alivyo  nielekeza  na  tangu  mdogo  wangu  afanye  hivyo, sikuwahi kumsikia  tena  akinipa  kesi  za wifi  yangu, zaidi  ya  kumsifia   mpenzi wake  ametulia. Mwisho  wa  siku  walifunga  ndoa  na  kuzaa  watoto.

 NAMTEKA   KICHAWI   KIJANA   WA   KIARABU.
Nilimroga  K  kwa  sababu  ya  pesa  zake. Nikiwa  kama  mwanamke  kamili, nilihitaji  kuwa na  mwanaume  ninaye  mpenda  kutoka  moyoni mwangu. Nataka  nitoe  funzo  moja  kwa  wanaume, mnajua   kila  mwanamke  alie  olewa   ambae  hajaokoka  huwa  ana  wanaume  wawili.  Mwanaume  wa  kwanza  ni  mwanaume  ambae  yupo  nae  katika  ndoa, na  mwanaume wa  pili  ni  mwanaume ambae  alitamani  awe  nae  katika  ndoa.  Hivyo  ndivyo  ilivyo  kuwa  kwangu.

Sasa  basi, kuna  kijana  mmoja  wa  kiarabu  ambae  nilikuwa  namzidi  umri  kwa  miaka  minane. Kijana  huyu  aliishi  mtaa  wa  pili  kutoka   nyumba  niliyo kuwa  nikiishi  na  K.

Nilitokea  kumpenda  sana  kijana  huyo   lakini  sikuwa  na  namna  ya  kumuanza, mnajua  mwanamke  kumtongoza  mwanaume  sio  kazi  rahisi.   Nikaona  isiwe  tabu  nikaamua  kwenda  kwa  Mungu  wa  Kabili, ili  anipe  ndumba  za  kumnasa  kijana  huyo  ambae kwa jina  aliitwa  Feisal.

Nilipo fika  kwa  Mungu  wa  Kabili  akaniambia “ Inaonekana  wewe  ni mtundu  mtundu  sana,. Halafu naona   una  mambo  mengi. Sasa  nitakutengenezea  uchawi, ambao  utakuwa  unautumia  mwenyewe  kumnasa  mwanaume  yoyote  unae  mtaka. “. Mungu  wa  Kabili  akaniambia, njia  hiyo  itakuwa  bora  kuliko  mimi  kuwa  naenda  kumuona  kila  mara  kwa  jambo  lile  lile.

Mungu  wa  Kabili  akaniambia, nitafute  kopo  linalo  tumika  chooni, nitafute  nguo  za  marehemu. Hapa  simaanishi  nguo  za  maiti, la  hasha  nina  maanisha  nguo  za  marehemu.

Mfano  wake  ni  kwenu  kuna  mtu  amefariki, nguo  zake  zimegawiwa  kwa  ndugu, jamaa  na  marafiki, sasa  nguo  hizo  ndio  anazo  zitaka.

Mungu  wa  Kabili, akaniambia  niwe  na  uhakika  kwamba  nguo  nilizo pewa  ni  nguo  za  marehemu  kweli, hilo  la  kwanza,  lakini  pili  niwe  na  uhakika   kwamba  marehemu  huyo  alikufa  kifo  cha  Mungu  na  sio  kachukuliwa  msukule.

Nikamuuliza  nitajuaje  kuhusu   mambo  hayo, akaniambia  ni  rahisi  sana. Wewe  ukizipata  nguo  za  marehemu, au  mtu  atakae kuuzia  nguo  za  marehemu, basi  akuonyeshe  mahali  lilipo  kaburi  la  marehemu, halafu  utakuja  kwangu  nikuelekeze  cha  kufanya.

 ( KATIKA  ULIMWENGU  WA  WACHAWI, NGUO  ZA  MAREHEMU  NI  BIASHARA  KUBWA  SANA, KUNA  WATU  WANAISHI  KWA  KUFANYA  BIASHARA  YA  KUUZA  NGUO  ZA  MAREHEMU  MBALIMBALI..MIMI  MWENYEWE  NILIUZIWA  NGUO ZA  MAREHEMU  KWA  BEI  MBAYA ).

Baada  ya  kufanikiwa  kupata  nguo  za  marehemu,  pamoja  na  kuonyeshwa  mahali  lilipo  kaburi  la  huyo  marehemu, nilirejea  kwa  Mungu  wa  Kabili.

Mungu  wa  Kabili  alizichukua  zile  nguo, akakata  kipande  kidogo  kwenye  shati  moja, akapaka  mafuta  ambayo  sikujua  ni  mafuta  ya  nini, akazifunga  kwenye  kitambaa  chekundu, akaweza  kwenye kibuyu, ndani  ya  kibuyu  hicho  akaweka   yai la  kuku mweusi, sindano saba  pamoja  na  mafuta  mengine  ambayo  sikujua  ni  mafuta  ya  nini  ila  wao  wachawi  na  waganga  wanayaita  mafuta  ya  usiku, kisha  akakifunga  kile  kibuyu, halafu  akanikabidhi, akaniambia, ikifika  usiku  wa  saa  moja  , nenda  hadi  kwenye  hilo  kaburi, kisha  ukiweke  kibuyu  hicho  juu  ya  hilo  kaburi  kwa  kukilaza., halafu  asubuhi  pita  katika  kaburi  hilo  uangalie  kwa  makini  kibuyu  hicho, ukikikuta  bado  kimelala  kama  ulivyo  kiacha  basi ujue  huyo  marehemu  kweli  amekufa  kifo  cha  Mungu, lakini  ukikuta  kimesimama, basi  marehemu  huyo  bado  yupo  hapa  hapa duniani, amechukuliwa  msukule.

Nikafanya  kama  alivyo  niagiza, na  kweli  kesho  yake  nikakuta  kibuyu  kimelala  kama  nilivyo  kiweka. Mungu  wa  Kabili  akaniambia  nguo  hizo zinafaa  kwa  ajili  ya  kutengeneza  dawa  hiyo.

Basi  akachukua  hizo  nguo, akaziunguza  kwenye  chungu  cheusi  pamoja  na  dawa  nyingine   kama  aina  kumi  na  mbili, halafu  akazihifadhi  kwenye  kibuyu  na  kunikabidhi,  pamoja  dawa zingine  kwenye  vifuko  vitatu.

Akaniambia, ukimtaka  mwanaume  yoyote  Yule, utamuita  kwa  kutumia  dawa  hii… Mwanaume  utakae  muita  sauti  yako  ataisikia  na  kuitii  mara  moja  kama  ambavyo  marehemu  huyo  alivyoitwa  na  Mungu  na  kuitii  sauti  yake.

Mungu  wa  Kabili  akaniambia  huo  ni  uchawi  mkubwa  sana  katika  mapenzi,  hakuna  mwanaume  nitakae  muita  na  akakataa  kuitika.  Uchawi  huu  hautumiki katika  mapenzi  tu, hata  kama mambo mengine, ilimradi  unacho  taka  wewe  ni  kumuita  mtu.

Kitu  kingine  akaniambia, ukimuita  mwanaume kwa  kutumia  uchawi  huu   zaidi  ya  mara  saba, halafu   akakataa  kuitika, basi  jua  kwamba  mwanaume  huyo kinga  yake  ni  kubwa  sana.

Sasa  basi ukisha  ligundua  hilo, unatakiwa  kutuma  nyoka  wa  kichawi  kuua  kinga  ya  mwanaume huyo. Ukisha ua  hiyo  kinga,  muite  tena  mwanaume  huyo  na  atakuja  haraka  sana.

Nyoka   huyu  sio  nyoka  wa  kawaida  kama  nyoka  wengine. Ni nyoka  wa  kichawi. Ni  jinni. Mungu  wa  Kabili  akanikalisha  kwenye  kigoda na  kuniambia, “ Nitamtengeneza  nyoka  huyu, halafu  nitakukabidhi, umtunze  vizuri  kwa  kufuata  masharti  yake…”

Katika  kumtengeneza  nyoka wa  kichawi, Mungu  wa  Kabili  akachukua  kitovu cha  mtoto. ( KUWENI MAKINI SANA  NA  MAHALI  MNAPOVITUPA   VITOVU  VYA  WATOTO  WENU.. KATIKA ULIMWENGU  WA  WACHAWI  VITUVO  VYA  WATOTO NI  BIASHARA  KUBWA  SANA… KITOVU  CHA  MTOTO  KINAPOENDA KUTUPWA, AMA  KUFUKIWA,  KATIKA  WATU WANAO PEWA  JUKUMU  LA KUVITUPA, HUWA  KUNA MMOJA  WAPO  ANAWEZA  KUWA  SIO MUAMINIFU, HUENDA  KUFUKUA  MAHALI  KILIPOFUKIWA  NA  KWENDA  KUKIUZA  KWA  WACHAWI  NA  WAGANGA )

Alipochukua  hicho  kitovu, akakifunga  kwenye  mti  wa  mnyonyo, halafu  akanyunyizia  dawa    kutoka  kwenye   vichupa  kama  saba. Baada  ya  hapo  akachukua  uzi mwekundu, akafunga  vifundo  saba  kwenye  kamba  hiyo,  halafu  akatupa  kwenda  chini, ilipotua  tu, ikageuka  kuwa  nyoka. Akamshika   huyo  nyoka, akamuhifadhi kwenye  kibuyu  cheusi, chenye  shanga  juu, akafunga  na kitambaa  cheusi  na  kunikabidhi.. Akanielekeza  jinsi  ya  kumtuma  nyoka  huyo  kufanya  kazi  mbalimbali  pamoja  na  masharti  yake.

 Kuhusu  lile  kopo  la  chooni, Mungu  wa  Kabili  akaniambia  amelitumia  kutengeneza  dawa  ya  kujua  siri  za  watu.   Dawa  hiyo  itanisaidia  kujua  kama  mwanaume  niliye  nae ana  hela  au  hana  hela, ana  mke au  hana  mke. Ana  watoto  au  hana  watoto.

Kingine  akanikabidhi  ua  ambalo  natakiwa  kulipanda  nyumbani.  Kupitia  ua  hilo  nitakuwa ninajua  kama  mwanaume  ambae  nipo nae   amepata  hela  au  la.

Kitu cha  mwisho, akaniambia, kwa sababu  nnaonekana  nnapenda sana  wanaume, inabidi  anipe  dawa  ya  kuwatengeneza wanaume  nitakao  kuwa  nao  na  kuwafanya  kutokuwa  na  uwezo  wa  kufanya  mapenzi na  wanawake  wengine  isipokuwa  mimi  tu.   Hii  itasaidia  kuniepusha  na  magonjwa  kama  vile  ukimwi  nakadhalika.

Mungu  wa  Kabili  akanipa  mti mmoja  mrefu, akaniambia  katika  mti  huo, utatumia  zaafarani  nyekundu  au  ya  njano, kuandika  majina  ya  wanaume  wote  ambao  upo  nao kimapenzi  pamoja  na  jina  lako, ukisfanya  hivyo, nenda  kautegeshee  barabarani, ukishagongwa  na  gari  tu, basi  wanaume  hao  watakuwa  wakikutana  na  wanawake  wengine, uume  wao  unakuwa  haufanyi  kazi.

Nilivyo  rudi  nyumbani  nikafanya  kama  nilivyo  elekezwa  na  kweli   Yule  kijana  alikuja  mara  moja  tangu  nilipo  muita.  Nilifurahi  sana  kumpata  Feisal. Pamoja  na  kwamba  nilikuwa nimemuita  kichawi  ila  nilikuwa  namuheshimu  sana kwa  sababu  nilikuwa  nampenda  toka  moyoni  mwangu.
                                
Baada  ya  kama  wiki  mbili  tangu  nianzee  uhusiano  wangu  na  Feisal, nikagundua  Feisal  ana  tatizo  la  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume.  Uwezo  wake  kitandani  ulikuwa  mdogo  sana.

Kama  kawaida  yangu  nikaenda  kumuona  Mungu  wa  Kabili. Mungu  wa  Kabili  akanipa  dawa   moja  inaitwa  KISHINDO. Akaniambia  utakuwa  unachemsha  unampa  anakunywa  glasi moja asubuhi  na  nyingine  anakunywa jioni, kwa  siku  kumi  mfululizo.  Nikafanya  kama  alivyo  nielekeza. Baada  ya  kumpa  Feisal   dawa  hiyo, nilijilaumu  kwanini  nilifanya  hivyo. Uwezo  wake kitandani  ulikuwa  wa  ajabu, alikuwa anashiriki tendo  kwa  muda  mrefu  sana  na  alikuwa  akirudia  mara  nyingi  bila  kuchoka…

NAMFANYIA   VITUKO    K
Katika  muda  wote  huo, nilikuwa  bado  ninaishi  na  K  kwenye  nyumba  yake  ya  Tabata  Mawenzi. K  alikuwa  kama  Ndondocha  kwangu. Kwanza  nilikuwa  simpi  unyumba  na  nilikuwa nafanya  kila  kitu  ninacho  taka  kukifanya  tena  mbele yake.

Feisal  alikuwa  anakuja  nalala  nae  chumbani, K  analala  pepe  yake  kwenye  chumba  kingine.  Alikuwa  anafanya  kazi  zote  kama  vile  kufua, kufanya  usafi na  kila  aina  ya  kazi  ambayo  houseboy  anatakiwa  kuifanya. 

Na  katika  kipindi hiki  K alikuwa  ameshafukuzwa  kazi  kutokana  na  uzembe  kazini.  Mimi  mwenyewe  nilimpiga  marufuku  kwenda  kazini  kwa  mwezi  mmoja, nilimwambia  achague  kitu  kimoja  kati  ya  kwenda  kazini  au  kufanya  kazi  zangu.

Sasa  basi  nikawa  namfanyia  K vituko, lengo  langu  nikitaka  aondoke  mwenyewe  aniachie  nyumba na  mali zake. Hakuwa  na  faida  yoyote  tena  kwangu. Kazi ameshafukuzwa , mali  zake  zote  pamoja  na  biashara  zake  ninazimiliki  mimi.

Basi  kila  nilipokuwa  nikifanya  mapenzi na   Feisal  nikawa  napiga  kelele ili  kumuudhi  K. Na  hivi  Feisal alikuwa  anatumia  muda  mrefu  basi  na  kelele zangu  zikawa  za  muda  mrefu. Lakini  wapi, K  wala  hata  hakuonyesha  dalili  ya  kwamba  anaweza  kuondoka , undondocha  ulikuwa  umetamalaki kwenye  kichwa chake.

Kwa  kutumia  ndumba  hizo nilizo  pewa  na  Mungu  Wa  Kabili, niliwateka  kichawi  wanaume  wengi  na  kuvunja  ndoa  nyingi  sana.

K  ANAAMUA   KURUDI   KIJIJINI
Nilipoona  K  hana  dalili  ya  kuondoka  pamoja  na kumfanyia  vituko  lukuki, nikaona  niende  kwa  Mungu  wa  Kabili  ili  kama  kuna  uwezekano  wa  kumfukuza  K kichawi.

Nilipofika  kwa  Mungu  wa  Kabili, akafanya  dawa  zake, halafu  ikatengenezwa  ngalawa ndogo, nikaambiwa  nipeleke   nguo  yoyote  ya  K . Nguo ya  K  ikafanyiwa  uchawi halafu  ikafungwa  kwenye  hiyo  ngalawa, tukaenda  baharini  kutegea  wakati  bahari  imesafiri  tukaenda  kuiweka  ngalawa , maji  yalipokuja  yakaondoka  na  hiyo  ngalawa, kesho  yake  tu, K  mwenyewe  akasema  anataka  kwenda  kusalimia  kijijini  kwao  amepakumbuka. Nilifurahi  sana  niliposikia  hivyo, nikamfungia   nguo  zake, nikampa na  nauli pamoja  na  hela ya  kula  njiani..

Kalivyo  rudi  kwao, baadhi  ya  ndugu  zake  hawakuridhishwa  na  hali  ya  K  pamoja  na  maelezo  yake. Mtu  aliyekuwa  tegemeo  la  ukoo  mzima, ghafla  anarudi   kijijini  akiwa  hana  kitu  na  maelezo  yake  yanatatanisha.  Wakaamua  kufunga  safari  hadi  mjini  ili  kufuatilia  mali za  ndugu  yao. Nilipo pata  taarifa  zao, nikaenda  kuwashitaki  kwa Mungu  wa  kabili,  wote  walipeperuka  na sikusikia  chochote  kuhusu  watu  hao.

NAINGILIA   NDOA    YA   WALOKOLE.
Nilitokea kumtamani  mwanaume  mmoja  mlokole  alieishi   mtaa  wa  pili  kutokea  nilipokuwa  naishi. Huyu  nilimpenda  kama  nilivyo  mpenda  Feisal. Alikuwa  mkaka  mzuri  anae jipenda sana.  Kwa  jina  aliitwa   Erasto.   Kikwazo  kikubwa  kwa  Erasto  ilikuwa, kwanza  alikuwa  ameokoka na  pili  alikuwa  na  mke ambaye  alikuwa  ameokoka  pia. Mke  wa  Erasto alikuwa  na  ujauzito mkubwa  tu  wa  kama miezi  mitano  au  sita .

Nasema  kuokoka  ilikuwa  kikwazo  kwa  sababu  Mungu  wa  Kabili  Alisha  nishauri  niwe  makini  sana na   walokole  kwa  sababu  wana  nguvu  za  ajabu. Ila  akaniambia  kuna  walokole  wa  waina  mbili., mlokole  wa  ukweli  na  mlokole  feki. .. 

Hivyo  basi  kama  umemempenda  mwanaume  wa  kilokole,  unatakiwa  kwanza  umpime  kichawi  kujua  kama  ni  mlokole  wa  ukweli  ama  mlokole  feki.

Akaniambia    uchawi  unao  tumika  kupima  nguvu  ya  mlokole, sio  uchawi  wa  kitoto, hauwezi  kufanywa  na  mtu  yoyote, akaniambia   kama  itatokea   nimempenda  mwanaume  wa  kilokole, basi  niende kwake  halafu  yeye  atampima  kama  mlokole  huyo  ni  orijino  au  feki.. Kama  ni  orijino  una  achana  nae  kwanza  unatafuta  njia  nyingine  ya  kumpata,  lakini  kama  ni  feki,unamvuta  kama  watu  wengine.

Akaniambia, ukimpenda  mwanaume  wa  kilokole  orijino  ni  bora  utumie  njia  za  kawaida  kumteka, kuliko  njia  za  kichawi, kwa  sababu  kwa  njia  za  kawaida, ataishia  kukukemea  tu,. Lakini  kwa  njia  ya  uchawi, utapigwa  shot. Hakuniambia   ni  shoti  gani.

TUNATUMIA    UCHAWI   KUPIMA   ULOKOLE   WA   ERASTO.
Ili  kujua  kama  mlokole  ni  orijino  au  feki, wachawi  hutumia  nzi. Hivyo  basi  Mungu  wa  Kabili  alianza  kufanya  uchawi  ili  kupima  kama  Erasto   ana  nguvu  za  Mungu  au  hana  nguvu  za  Mungu.

Siku  hiyo  Mungu  wa  Kabili  akachukua   bakora  ya  kichawi  ambayo  imetengenezwa  kwa  mti  wa Mkomoro,  Mganga  akaniambia  mti  huo   wa mkomoro ni mti wenye  nguvu  nyingi sana  za  kichawi na  wachawi   huutumia  kwa  mambo  mengi  ikiwa  ni pamoja  na  kufufua  wafu.

Mungu  wa  Kabili  akaanza  kwa  kuwaita  inzi na  kisha  kuwatuma   waende kwa  Erasto  ili  kujua  kama ana  nguvu  za  Mungu  au  la.  Lilikuja  kundi  la  nzi  wengi, na  walipo  tua  tu  kwenye  fimbo  yake  wote  wakapasuka  pale  pale.

Mungu  wa  Kabili  akaniambia  kwa  kunisisitiza,   achana  kwanza  na  huyu  Erasto, kesho  ninasafiri  kwenda   Mkuranga , nitakuwa  huko  kwa  siku  saba tunaenda  kupika  uganga . Nitakapo  rudi  tutaangalia  njia  nyingine  ya  kumteka  Erasto.

Waganga   na  wachawi  huwa  wanakuwaga  na    MWAKA WA  UCHAWI  ama  MWAKA  WA  UGANGA, kama  ambavyo  kuna  MWAKA  WA  FEDHA,  MWAKA  WA  MASOMO  nakadhalika.

Unapofika  mwaka  wa   uganga, waganga    hukutana  mzimuni  na  kupika  uchawi, ambao  huuzwa  kwa  waganga  mbalimbali.  Jambo   hilo   hufanyika   kila  mwaka.

Mungu  wa  Kabili  alikuwa  anaelekea  Mkuranga  kwa  ajili ya  kusimamia  zoezi la  upikaji  wa  uchawi  unaoitwa  MANGUBE.   Kwa  hiyo  Mungu  wa  Kabili  akaniambia  nisubiri  kwanza  mpaka  wiki mbili zipite ndio  tuje  tukae  tupange  cha  kufanya  juu  ya  Erasto, kwa  sababu  baada  ya  kutoka  Mkuranga  alikuwa  anaelekea  Liwale  Lindi.

Sikuwa  na  jinsi  zaidi  ya  kukubaliana  na  maagizo  ya  Mungu  wa  Kabili.

NAMTUMIA   ERASTO  NYOKA  WA  KICHAWI.
Baada  ya  siku  tatu  uvumilivu  ukanishinda, nikaamua  liwalo  na  liwe, kama  kuna  baya  litanitokea, Mungu  wa  Kabili  atanisaidia.

Usiku  wa  saa  sita  siku  hiyo, nikamchomea  Erasto, dawa  ya  kumvuta  kwangu  kichawi. Kwa  kawaida   nikishachoma  dawa, usiku  huwa  naota  nafanya  mapenzi  na  mwanaume  nilie  mchomea  dawa  na   kesho  yake, kabla ya  saa  sita  mwanaume  huyo  huwa  ananitafuta, lakini  kwa  Erasto  ikawa  tofauti.  Sikuona   chochote. Nikachoma  kwa siku  saba  mfululizo  hakuna  chochote.

Nikakumbuka  Mungu  wa  Kabili  aliniambiaga  kwamba, kama  nikichoma  dawa  ya  kumuita  mtu  na  mtu  huyo  asije, basi  nijue  kuwa  mtu  huyo  ana  kinga  kubwa, kwa hiyo  natakiwa  nimtumie  nyoka  wa  kichawi, nyoka  huyo  ataenda  kuvunja  kinga  ya  mtu  huyo.

Siku  hiyo  usiku  wa  saa  sita, nikaenda  kuchukua  kile  kibuyu ambacho  kilitumika  kumuhifadhi  Yule  nyoka,  nikamtuma  nyoka  huyo  aende  kuigonga  na  kuivunja kinga  ya  Erasto. Nilipomaliza  kunena maneno  yangu  nikafungua kile  kibuyu  ili  nyoka  atoke, nyoka  alipotoka  akanigonga  kwenye  mguu na  kutokomea.

Nilipiga  kelele  za  ajabu,  house girl wangu  akaenda  kuwaamsha  majirani  na  kupiga  simu  ya  kaka  angu, nikapelekwa  hospitali, hospitali  nikapimwa  lakini  hakikuonekana  kitu, wala haikuonekana  kama  nina  sumu  yoyote  mwilini, lakini  nilikuwa  nasikia  maumivu  makali  sana yaliyokuwa  yanakuja  na  kuondoka, nikapewa dawa   za  kuzuia  maumivu  lakini  wapi. Ilipofika  asubuhi  maumivu  yakawa  yameisha  lakini  nikawa  nimepooza  upande  mmoja.

Nikamwambia  kaka  angu  apige simu  ya  Mungu  wa  Kabili, lakini  Mungu  wa  Kabili  alipopigiwa  na  kuelezewa  kilicho  tokea, akawa  mkali  sana, kwanza  akasema  alinionya  nisifanye chochote halafu  pili  akasema  hawezi  kunisaidia  kwa  namna  yoyote  ile.

Sikuwa  na  jinsi  zaidi  ya  kumueleza  kaka  angu  ukweli. Kilicho  fuatia  tukaanza  kuzunguka  kwa  waganga  wa  kienyeji  kwa  ajili  ya  tiba  yangu  lakini  wapi. Baada  ya  wiki  mbili  nilipelekwa  kwa Mungu  wa  Kabili  Bagamoyo  angalu  aione  hali  yangu  ilivyo  labda  anaweza  kunionea  huruma  lakini, akakataa  kata  kata…. Msimamo wake  ulikuwa  ni  ule  ule, nimefanya  jambo  ambalo  alinikataza  kulifanya  na  pia   hana  uwezo  wa  kunisaidia. Zaidi  aliniambia  hatima  yangu  ni  kifo.

Tulizunguka  kwa  waganga  wa  kila aina  na  kila  sehemu  lakini  wapi  hali  yangu  ikazidi  kuwa  mbaya.

Siku moja  ndugu  yangu  mmoja  wa  upande  wa  mama  angu, alikuja  kuniona  baada  ya  kusikia  nimepooza. Baada  ya  kumsimulia  kuhusu  kisa  changu  alisikitika  sana. Nikapelekwa   kwenye  kanisa  moja  la  kiroho  na  kuombewa. Siku  tatu  tangu  nianze  kuombewa  nilitapika  vitu  vingi  sana  vya  ajabu  ajabu, kama  vile  kucha, nywele,  damu   nakadhalika, na  taratibu  hali  yangu  ikaanza  kutengemaa  na hatimaye   nikapona  kabisa.

Namshukuru  Mungu  sasa  hivi  nimeokoka, nimempokea    Yesu  kama  Bwana  na Mwokozi  wa  maisha  yangu. Mali  za  K  nimezirudisha  na  sasa  ninaishi  maisha  yangu  halali kwenye chumba  cha  kupanga  maeneo  ya  Mbezi  Ya  Kimara.

Ninaumia  sana  moyoni  kuona, nimeseababisha   mateso  kwa wanawake  wenzangu, nimevunja  ndoa  za  watu.   Nimeamua  kumtumikia  Mungu  katika  maisha  yangu  yote. Ninawaomba  msamaha  wale  wote  nilio  waharibia maisha.

CHA  MWISHO  NA  KIKUBWA.. NAWATAHADHARISHA  WANAWAKE  WENZANGU  KUHUSU  WAGANGA  WA  KIENYEJI, HUSUSANI  HUYU  ANAEITWA  MUNGU  WA  KABILI. NI  MTU  HATARI  SANA  NA  MCHAWI  MKUBWA. NAOMBA   MSIENDE  KUFUATA  MSAADA  WAKE  JAMANI  KWA  SABABU  NI MCHAWI.. NAMBA  ZAKE  ZA  SIMU  NI  0744  000  473. MSIPIGE  NAMBA  HIYO  JAMANI, YATAWAKUTA  KAMA  YALIYO  NIKUTA  MIMI. NIMEONA  NIWEKE  NAMBA  ZAKE  HADHARANI   ILI  MZIJUE  NA  KUJIEPUSHA  NAZO, KWA  SABABU  NAONA  ANATANGAZWA NA  VYOMBO  MBALIMBALI  VYA  HABARI. NAOMBA  KILA  ATAKAE PATA  UJUMB  HUU, AMJULISHE  NA  MWENZAKE

YESU  AWAONGOZE  NA  AWALINDE.

TFF wajibu hoja za Michael Wambura

$
0
0
Shirikisho la soka nchini TFF limejibu tuhuma zilizotolewa na makamu wa rais wa shirikisho hilo Michael Richard Wambura, baada ya hukumu ya kufungiwa maisha kutangazwa dhidi yake na kamati ya maadili inayoongozwa na mwenyekiti Hamidu Mbwezeleni.

Wambura alizungumza na waandishi wa habari kupinga hukumu iliyotolewa dhidi yake, huku akiweka wazi  baadhi ya mambo ambayo anaamini yamekua mzizi wa yeye kufanyia figisu hadi kuingizwa hatiani.

Mdau huyo wa soka alidai kuwa, kuna mambo mengi yanaendelea ndani ya TFF likiwepo suala la ubadhilifu wa fedha, ambao umekua kinyume na utaratibu, jambo ambalo aliahidi kulitafutia siku la kulianika hadharani kupitia vyombo vya habari.

TFF imejibu tuhuma hizo kwa kutoa ufafanuzi wa kina katika kila kipengele ambacho kilizungumzwa na Wambura alipokutana na waandishi wa habari jijini Dar es salaam.


1.Matumizi mabaya ya fedha za TFF
JIBU : Wambura kama Mwenyekiti wa kamati ya fedha amehudhuria vikao zaidi ya 4 vya kamati na hajawahi kulalamika kokote mpaka amefungiwa.

Bajeti ya TFF iliyopitishwa Dodoma kwa Mwaka Mzima ni Bilioni 8.6 hivyo matumizi anayosema ya Bilioni 3 kwa miezi 7 yanaonyesha jinsi gani TFF inavyopambana na changamoto za kifedha hivyo kuhakikisha inapunguza matumizi.

Mapato yaliyopatikana kwa miezi Saba (7) iliyopita yalitumika katika maeneo yafuatayo :

Timu ya Taifa Taifa stars(Fifa dates),Kilimanjaro Stars  (Challange Cup),Kambi kwa Timu ya Taifa Under23, Kambi U20, U16, Wanawake U20, Ligi za Wanawake, Kombe la Shirikisho la Azam, kozi za makocha,kozi za waamuzi za nje na ndani, vikao vya kamati ya utendaji na  kamati ndogo ndogo, mishahara ya watumishi wa TFF na makocha wa timu za Taifa, kulipa madeni tuliyoyakuta na kuidhinishwa na kamati ya fedha, kozi za Grassroots na Live Your Goal na soka la Ufukweni

2.Ajira za TFF watu kupewa kwa kujuana.
JIBU : TFF haijawahi kuajiri nafasi yoyote ile zaidi ya Wakurugenzi 3 na meneja 1 tofauti na uongo unaozungumzwa,Wakurugenzi walioajiriwa ni Mkurugenzi wa Fedha,Mkurugenzi wa Mashindano,Mkurugenzi wa sheria na Wanachama na Meneja Masoko,katika kupunguza matumizi ya fedha Taasisi imebaki na Wafanyakazi 21 kutoka 44 wa awali waliokutwa na Ndugu Karia.

3.Kumteua Wilfred Kidao kuwa kaimu Katibu Mkuu wa TFF.
JIBU : Kaimu Katibu Mkuu alikaimishwa na Kamati ya Utendaji na yeye Wambura akiwa mmoja wa waliompitisha.

4.Mipira 100 kila mkoa kwamba kuna watu wamepiga fedha za TFF.
JIBU : TFF chini ya Rais wa TFF aliyekuwepo madarakani Ndugu Wallace Karia haijawahi kununua mipira,mipira iliyotolewa ilinunuliwa na uongozi uliopita ilichofanya TFF ni kuigawa kama ilivyofanya.

5.Kuwa na wafanyakazi wawili kwenye nafasi moja.
JIBU : TFF haijawahi kuajiri mfanyakazi zaidi ya mmoja kwenye nafasi moja,wengi waliokuwepo kwenye Shirikisho kwa sasa wanajitolea akiwemo Afisa Habari.

6.Suala la Waamuzi kuondolewa kuchezesha ligi kuu.
JIBU : Ili kuongeza ubora wa uchezeshaji TFF ikaamua kuchaguwa waamuzi wa juu(Elite) tofauti na awali ambako kulikuwa na idadi kubwa mchanganyiko ya waamuzi.

7.Kaimu Katibu kutuma majina ya Makamishina.
JIBU : Jina la Michael Wambura na Ahmed Mgoyi ndio yaliyopelekwa kama utaratibu unavyotaka ya kujaza kwenye fomu moja pekee na TFF haikuwahi kubadilisha wala kukata jina la mtu yeyote.

8.TFF ya sasa mpaka uwe na urafiki na watu 3 Karia, Mgoyi, na Nyamlani.
JIBU : TFF haiendeshwi kwa urafiki bali kwa utaratibu wenye kufuata kanuni.

Kikao kilichotoa maamuzi ni Kamati inayojitegemea (Independent) sio rahisi kuingiliwa kwa kuwa hata Rais wa TFF hawezi kuiingilia

Kumekuwa na upotoshaji mkubwa unaoenezwa kwa maslahi binafsi,ni vyema watu wakajikita kwenye kujibu tuhuma zao bila kuhusisha uongo na vitu visivyo vya kweli kwa Taasisi ambayo kwasasa ipo makini kwenye kuhakikisha kila kitu kinafuata utaratibu ikiwemo masuala ya kifedha pamoja na mambo mengine.

Imetolewa na Idara ya Habari na Mawasiliano TFF

Paul Makonda Awaomba Msamaha Wananchi

$
0
0
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Mh. Paul Makonda amefunguka na kuwaomba msamaha baadhi ya wananchi ambao ameshindwa kutimiza ndoto zake na kusema anaamini ataendelea kuwatumikia na kujitahidi kuweza kugusa maisha ya kila mmoja.

Paul Makonda amesema hayo siku mbili baada ya kutimiza miaka miwili toka ameteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam na kusema kuwa ndani ya miaka miwili akiwepo madarakani anaamini amegusa maisha ya watu kwa kutumia kipaji chake, uwezo wake wote.

"Asante Mungu kwa neema zako, kama usingekuwa upande wangu na Dunia iseme sasa. Nawashukuru sana sana watumishi wenzangu Kwa kunivumilia na kunielewa katika kutimiza majukumu yangu. Zaidi nawashukuru sana wananchi naimani nimejitahidi kuwatumikia Kwa moyo wangu wote na vipaji vyote na pale niliposhindwa kutimiza ndoto yenu mnisamee"

Makonda aliendelea kufafanua na kutoa ahadi yake kwa wananchi kuwa

"Zaidi nawaahidi nitaendelea kujituma zaidi ili niyaguse maisha ya kila mmoja wetu kama ambavyo Serikali ya awamu ya 5 inavyokusudia. Mwisho si kwa umuhimu ni Kwa wadau wa maendeleo naomba mfahamu kila cent mliyoitowa ina thamani kwangu na kwa wananchi wangu. Tumefanya Mambo mengi na hakika na tumegusa na hata kuleta faraja Katika maisha ya Watu wengi. Kwakutambua mchango wenu ninaandaa siku ya kuwatambua na kuwatunuku tuzo kama asante yangu kwenu"

Machi 13,  2016 Paul Makonda aliteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam

Shilole na Uchebe Wazungumzia Tetesi za Kuachana

$
0
0
Msanii wa muziki bongo ambaye kwa sasa amejikita zaidi katika ujasiriamali, Zuwena Mohamed maarufu kama Shilole au Shishi Trump, hatimaye amefunguka kuhusu kuvunjika kwa ndoa yake na mume wake Ustadhi Uchebe kufuatia posti ya ua jeusi iliyowekwa kwenye ukurasa wa Instagram ya Uchebe.

Uchebe amefunguka na kusema ni kweli akaunti ni yake na ua jeusi lilipostiwa na kusindikizwa na maneno yaliyoleta utata na kutafsiriwa na mashabiki kuwa ndoa hiyo imevunjika kama ambavyo uhusiano wa Diamond na Zari ulivyovunjika.

Uchebe amefafanua kuwa watu wasiojulikana waliiba akaunti yake na kufanya hayo ambayo yamefanyika na kutafsiriwa hivyo na mashabiki.

Aidha yeye na mke wake shilole wamewatoa hofu wananchi na mashabiki wao kua hawawezi kuachana na hawafikirii kuachana milele na pia ameongezea yupo sawa na mke wake hawajagombana kama ambavyo watu wanafikiria.

“Sio kweli sijaachana na mke wangu na wala hatufikirii kuachana, kuna watu wanafiki wanapenda kusikia tumeachana, kuhusu ile post kuna mtu alifanikiwa kuhack acount yangu na kupost vile lakini sijamuacha mke wangu, na wala hatuna ugomvi, na niwaambie tu kuwa hatuachani leo hata kiama”, amesema Uchebe.

Shilole na Uchebe walifunga ndoa mwishoni mwa mwaka jana, Ndoa yao ni moja kati ya ndoa ambazo zilifanya vizuri na kuvuma sana mitandaoni, huku ikiwa imehudhuriwa na wasanii mbalimbali ambao walitoa ahadi kedkede kwa maharusi hao.

Kufuatia tukio hilo linalosemekana wameachana wawili hao wamewatoa wasiwasi mashabiki na kusema kuwa sio kiki ila ni tukio amablo limefanywa na watu wasiojulikana ila wapenzi hao wapo pamoja na hawategemei kuachana siku za usoni.

Okoa Ndoa Yako Na Afya Yako Sasa Kwa Kutumia Tiba Asilia Itokanayo Na Mizizi Na Magamba Ya Miti Shamba:

$
0
0
Kwa utafiti mkubwa uliobainika wanaume asilimia 70 wanaupungufu wa nguvu za kiume NA maumbile madogo 

NA ndio chazo kikubwa kinachosababisha ndoa au mahusiano mengi kuvunjika .Mwanaume anatakiwa awe na uume mrefu kuazia nchi 5,6,7,au 8 vinginevyo mwanaume huyo atakuwa na upungufu  wa vichocheo hivi HORMONES ZA GETROGEN

Tumia dawa YA MWIMALA huboresha uume wako saizi upendayo

SHAFTI POWER ni dawa ya nguvu za kiume hutibu matatizo matatu kwa pamoja;
1 kushindwa kurudia tendo na mwili kuchoka 
2 kuwahi kufika kileleni 
3 kulegea kwa misuli na uume, kusinyaa 

Tunatibu presha, fangasi, busha bila kupasua, vidonda vya tumbo, kisukar,i kutopata choo, magonjwa ya moyo, kupooza viungo, ngiri,

Tunapatika mbagara karibu na amana benki kwa wateja wa mwanza na mikoa jirani yupo wakala wetu au wasiliana nami DR MFAUME SIMU NO 0789234653. HUDUMA IZI UTAZIPATA POPOTE ULIPO

Tiba Bora ya Nguvu za Kiume, Kisukari, Ngiri, Miguu Kuvimba

$
0
0
Matatizo ya nguvu za kiume yanawaathiri watu wengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona tofauti sana na wengine. Kawaida mwanaume anatakiwa kuwa na uume kuanzia nchi 6- 8, vinginevyo mtu huwa na matatizo. Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo. 

Baadhi ni upungufu wa vichocheo hivi; Homoni za getrogen ambazo mwanaume anapobalehe, vichochea hivi huchochea ukuaji wa uume.

Ngiri; Hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na hufanya tumbo kuunguruma na kujaa gesi. Sababu zingine ni korodani moja kuvimba, kupopata choo vizuri.

Sababu hizi na zingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na mara kwa mara husababisha kukosa tendo ya kurudia tendo na baadae kushindwa kabisa

SILYA: Ni dawa inayozalisha homoni zxa Gestrogen na kufanya uume kukua na kuongezeka hadi nchi 6-8
 
WET POWER: Ni dawa bora ya vidonge iliyotengenezwa kwa mitishamba na matunda ambayo huongeza nguvu za kiume kuanzia miaka 15-95 na hukomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi, ina imariisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa na itakufanya uwe na hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara mbili bila hamu kuisha na pia itakuchelewesha kufika kileleni

Pia tunatibu kisukari, presha, ngiri, miguu kuvimba na kuwaka moto

Wasiliana na Sheikh Khatib akutatulie matatizo yako. Namba zake; 0785 234 837  au 0656 551 093  au 0746473974

Dawa Ya Asili ya Kuondoa Chunusi, Harufu Mbaya na Nguvu za Kiume

$
0
0
"NI DR. CHIEF MALUNDE PEKEE ANAETIBU NGUVU ZA KIUME NA KUMTULIZA UMPENDAE KWA KUTUMIA DAWA ZA ASILI"
-baada ya kujichimbia katika nchi za kiarabu kwa zaidi ya miaka (10)sasa amewasili nchini na dawa za tiba asilia.
 
1/NGOLO 3 POWER-ni dawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, ina ubora wa hali ya juu wa kutibu tatizo la upungufu wa nguvu za kiume kwa wasiojiweza kufanya tendo la ndoa, inaimarisha misuli iliyolegea na kusinyaa, inarutubisha mbegu za kiume na kukufanya uchelewe kufika kileleni kwa dk.15-25 kuwa na hamu na tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila kuchoka, inarefusha uume inchi 5-8 na kunenepesha hadi cm 4 kwa wenye maumbile madogo, dawa hii imeboreshwa na hutibu matatizo haya kwa muda mfupi tu.
 
2/MAGOYE MVUTO- dawa hii ina uwezo mkubwa sana kumvuta na kumtuliza aliekuacha awe mpenzi, mme/mke itamfanya akutafute mwenyewe ndani ya masaa 3tu na kukutimizia mahitaji yako kwa haraka na kumfunga asiwe na mtu mwingine.
 
3/SUPER LUBEJA- ni dawa ya kushepu umbo no.8 mguu wa bia, kuongeza hips, na makalio kwa muda wa siku 5tu unapata saizi uipendayo, kuondoa makovu, chunusi, harufu mbaya ya mwili michirizi, kupunguza tumbo na maziwa kwa siku 6tu.
 
4/NG'WESHI MIX- ni dawa ya biashara ya kupata wateja wengi, kusafisha nyota, kurudishwa kazini na kupandishwa cheo, kurudisha mali iliyoibiwa au kudhurumiwa.
 
PIA TUNATIBU MAGONJWA SUGU KAMA: vidonda vya tumbo, ngiri, chango na uzazi kwa kina mama: (dawa zote hazina madhara kwa mtumiaji) HUDUMA HIZI UTAZIPATA POPOTE ULIPO: TUNAPATIKANA DSM BUGURUNI SHELI AU PIGA SIM NO_ 0763-181099.

Ofisi za mabasi ya mwendokasi zahamishwa

$
0
0
Mradi wa Mabasi yaendayo haraka (Udart) umeamua kuhamisha ofisi zake kwa muda ili kuepusha uharibifu unaoweza kujitokeza kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam.

Ofisi hizo zilizopo eneo la Jangwani, wilaya ya Ilala, kwa sasa hazitatumika na mabasi yote yaendayo haraka yatalazwa katika vituo vikuu vya mabasi hayo.

Akizungumza leo Machi 16 Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Udart,  Deus Bugaywa amesema wamehamisha ofisi hizo ili shughuli zinazofanywa na mradi huo zisiweze kutetereka kutokana na mvua zinazoendelea.

"Maji yalianza kujaa saa nane usiku, tulianza kuhamisha magari yetu yote na kuyapeleka katika vituo vikubwa vya mabasi yetu, licha ya mabasi pia tumehamisha vitu vingi vya ofisi kwa sasa hatutaitumia kwa muda," amesema Bugaywa.

Amesema wameamua kusitisha huduma za usafiri wa mwendokasi leo, kutokana na maji kujaa eneo la jangwani na hivyo barabara hiyo ilifungwua tangu saa kumi alfajiri na imefunguliwa saa tatu asubuhi baada ya trafiki kujiridhisha kwamba inafaa kupitika.

Ni Simanzi na Majonzi Ibada ya Mazishi ya Mmiliki wa Mabasi ya Super Sami Aliyeuawa na Kutupwa Mtoni

$
0
0
Vilio, simanzi na majonzi vimetawala kwa  waombolezaji kutoka jijini Mwanza na maeneo jirani wanaendelea na ibada ya mazishi ya mfanyabiashara Samson Josia yanayofanyika nyumbani kwake mtaa wa majengo mapya wilaya ya Magu mkoani Mwanza.

Mwili wa mfanyabiashara huyo uliokutwa ukiwa umefungwa kwenye viroba ukielea ndani ya Mto Ndabaka mpakani mwa wilaya za Bunda mkoa wa Mara na Busega mkoani Simiyu umewasili asubuhi ya leo Machi 16 ukitokea Hospitali ya Rufaa Mara ulikohifadhiwa kwa ajili ya uchunguzi tangu juzi.

Tangu asubuhi, mamia ya waombolezaji kutoka jijini Mwanza na maeneo jirani wamekuwa wakimiminika nyumbani kwa marehemu wakitumia mabasi ya kampuni aliyokuwa akimiliki.

Mabasi ya kampuni nyingine pia yanatumika kusafirisha waombolezaji kutoka jijini Mwanza bila malipo.

Marehemu Josia aliyezaliwa mwaka 1968 alipotea tangu Februari 27 kabla ya gari lake kukutwa likiwa limeteketezwa kwa moto ndani ya eneo  la hifadhi ya Taifa ya Serengeti mkoani Mara Machi 9.

Ibada ya mazishi inaongozwa na Mchungaji Jackson Meza kutoka Kanisa la African Inland Church of Tanzania (AICT) huku kwaya ya kanisa ambayo marehemu alikuwa mfadhili wake ikiimba nyimbo za maombolezo.

Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi mkoa wa Mara, Jaffari Mohamed, watu wanne wanashikiliwa na jeshi hilo kwa mahojiano kuhusiana na kifo hicho kilichoibua hofu na maswali yasiyo na majibu miongoni mwa ndugu, jamaa, marafiki na wakazi wa jiji la Mwanza ambako marehemu alikuwa akiendesha shughuli zake za kibiashara.

Huna Sababu ya Kuaibika Tena.....Jipatie Dawa Asili ya Tatizo la Nguvu za Kiume

$
0
0
Matatizo ya nguvu za kiume  yamekua yakiathiri watu wengi sana kisaikologia hasa baada ya kujiona wakotofauti sana na wengine, kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hili, chango :- hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngiri :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba namarakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kukosa kabisa

MIHINI:- Nidawa ya vidonge iliyotengenezwa kwa mitishamba, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka (15-80) inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) ,inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uwe na hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi ya maratatu bilahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kilelen Kwa mda wa dk (18-25).

SUNUPER :- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwamda mfupi sana , ni Dr GALIMU mtatuzi wa matatizo yako kunadawa ya kupunguza unene, kitambi (nyamazembe),matiti makubwa kuwa madogo, uzazi, kuludisha mali iliyopotea, kuuzavitu bila kununuliwa, biashara, wachimba madini kusafisha nyota, kuludishwa kazini mvuto wa mapenzi nk.

KWAHUDUMA NA MSAADA WASILIANA NA DR GALIMU ATAKUSAIDIA SM NO :- 0744 594 994

TANGA RAHA- Sehemu ya Thelathini na Mbili ( 32 )

$
0
0
AGE………………18+
WRITER…………EDDAZARIA G.MSULWA
ILIPOISHIA

“ILA BABA KWANINI UMUUE EDDY WANGU?”
Swali la Rahma likawafanya watu wote kumtazama na nikaanza kuziona sura za askari zikianza kubadilika na kuweka mikunjo askari wawili wakaziweka bunduki zao sawa kuzielekeza kwa baba Rahma  huku mkuu wao akipiga hatua hadi kitandani na kumuuliza Rahma swali
“Unasema kuwa Eddy ameuliwa na baba yako?”
‘NDIO”

ENDELEA
Chumba kizima kikatawaliwa kwa ukimya kiasi kwamba kila mmoja macho yake yakamgeukia baba Rahma
“Huyo Eddy kwako alikuwa ni nani?”
“Ni mpenzi wangu ninaye mpenda sana”
Nikanyata taratibu huku shangazi Rahma akiwa anaendelea kuwaomba askari waweze kuzungumza juu ya swala alilo lizungumza.Nikashuka kwenye ngazi za gorofa lao na nikatoka nje na moa kwa moja nikeelekea nje na safari ya nyumbani kwangu ikaanza.Moyoni mwangu nikaanza kuhisi hizto na wa ushindi mkubwa kwani swala la kuingia nyumbani kwa kina Rahma pasipo wazazi wake kufahamu na nimtu mmoja ndio amelitamvua hilo kidogo likanipa faraja ya kuweza kumtorosha,nikanawa sura yangu na nikarudi katikahali yangu ya kawaida

Siku nzima nikajifungia ndani na sikutoka nje huku nikiwa ninapanga mipango ya kumtorosha Rahma katika hali ya kawadi,Picha nyingi nilizo zichora kwenye karatasi nyeupe zikiwa kama ramani ya nyumba ya baa Rahma zinakanitosha zaidi kujua kuwa ninaanzia wapi katika kufanikisha swala la kumtorosha Rahma hadi nikajikuta ninapitiwa na usingizi katika kocho nililo kalia.Asubuhi na mapema nikaelekea nyumba ya pili kwa mzee mmoja ambaye na mstaafu wa jeshi na kipindi cha nyuma aliniomba niweze kumfundisha mwanaye wa kiume masomo ya kumbo yake ya PCM na kwa bahati mbaya sikuweza kupata muda huo kutokana na matatizo
Nikagonga geti lake nalikafunguliwa na mlinzi na akaniruhusu kuingia ndani na kwabahati nzuri nikakutana na mzee Ngoda akifanya mazoezi kwenye moja ya bustani yake na nikamfwata hadi sehemu alipo na kumsalimia
“Vipi Eddy kuna siku nilisikia sikia kelele huko kwako ila kutokana nilikuwa ninawageni muhimu sana nikashindwa kutoka”
“Mzee wee acha tuu kuna mambo mengi yalinikumba hivi vijiwiki kadhaa vya nyuma nikajikuta hata ninashindwa kutimiza ile ahadi ya kumfundisha mwano”

“Mambo gani kwa maana nilipo kuja kuchungulia sikukuta mmtu zaidi ya ukimya mwingi?”
Nikaanza kumsimulia mzee Ngoda kuanzia mwanzo hadi mwishio kuhusiana na mkasa wa Rahma hadi ninamaliza akabaki akisikitika huku akishusha pumzi nyingi mara kwa mara
“Duuu sasa wewe unataka nikusaidie nini juu ya hilo swal lako?”
“Mimi ninataka unisaidie juu ya mipango na mbinu za kijeshi ili niweze kwenda kumtorosha yule binti”
“Hjui hilo ni kosa la jinai na kama ukikamatwa hapo unachukuliwa kuwa kama gaidi na kifungo chake nina imani unakijua”
“Ndio ninakutambua mzee wangu ila naomba tuu unisaidie”
“Wee koma wenyewe wanasema uzee mwisho msata kila mtu mjini ni baby”
Nikajikuta nikangua kicheko kwani sikutegemea kama mzee ataweza kuniropokea maneno ya namna hii ukilinganisha na umri wake.

“Eddy mimi kama mimi kwenye hilo sinto weza kukusaidia labda kuna jengine useme nitakusaidia kwa maana nitakuwa nimevunja sheria na kanuni za jamuhuri ya muungano wa Tanzania pamoja na sheria za jeshi.”
Mzee Ngoda akanikatalia kata kata na sikuwa na kingine cha kuzungumza zaidi ya kuondoka zangu na kurudi nyumbani kwangu.Nikajipikia kifungua kinywa na baada ya kumaliza kupata chai nikaelekea kwenye maduka ya wachaga yaliyopo barabara za namba na kazi yangu ikawa ni kutafuta ni nguo gani ninaweza kuzinunua na kuzivaa na zikabadilisha muonekano wangu kabisa.Hadi mwisho wa mizunguko yangu nikajikuta nikinunua overol jeusi pamoja na kofia kubwa na kurudi nyumani kwangu mida ya saa kumi na moja jioni.Nikapanda kitandani na kulala huku saa yangu ya mkononi niiitega muito wa kunistua saa nne usiku.

Kama nilivyo itega saa yangu ndivyo ilivyo niamsha nikanyanyuka kitandani na kuingia bafuni na kunawa uso ili kutoa uchovu kisha nikarudi  ndani na kuvaa overoli langu na pamoja na kofia,Nikatafuta mabuti yangu ya mvua kisha nikavaa,nikazichukua karatasi nilizo chora ramani ya nyumba ya kina Rahma na kuanza kuipitia moja baada ya nyingine.Nikachukua beki langu dogo na lenye vijimikanda vyembaba na kulivaa mgongoni huku likiwa ni vifaa kama koleo,bisibisi na nyundo

AISIIIII……….U KILL ME ( Sehemu ya 45 na 46 )

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA                             
ILIPOISHIA 

“Mariamuuuuuuuuuuu”
Niliisikia sauti ya Mama Marim iliyo zidi kunichanganya na kujikuta nikikaa chini sakafuni huku machozi yakinilenga lenga. Nikanyanyuka taratibu na kumtazama Mariam, jinsi alivyo lala hajabadilisha hata mkao, mapigo yake ya moyo yamesimama kabisa jambo lililo zidi kunichanganya maradufu na saa yangu ya ukutani inaonyesha ni saa mbili kasoro usiku na muda si mrefu Babyanka atakuja kunipitia kwa ajili ya kwenda Marekani kuifanya kazi ya muheshimiwa riaisi.

ENDELEA
Mlango wa chumbani kwangu ukagongwa na kuyafanya maoigo yangu ya moyo kuzidi kwenda kasi kwa maana ninatambu atakuwa ni mama Mariam. Nnikashuka kitandani kwa haraka, nikafungua friji nikatoa chupa yenye maji ya baridi na kumwagia maji hayo Mariam usoni. Cha kumshukuru Mungu, akakurupuka huku akiwa anagema sana.
Nikawahi kumziba mdomo ili asiweze kupika kelele zitakazo sikika nje kwa maana mama yake amesha fika.
“Dany”
“Shiii”
“Mariammuuuu”
Tuliisikia sauti ya Mama Mariam akiita akiwa uwani na ttayari alisha ondoka mlangoni mwangu. Wasiwasi ukaanza kumjaa Mariam, akaanza kushuka kitandani huku akiwa anahema, akajaribu kupiga hatua mbili mbele ila nikagundua kwamba mwendo wake umebadilika na ana chechemea.
“Mungu wangu, Dany mama si atajua kwamba nimeutoa usichana wangu”

“Jikaze utembee vizuri, hatokustukia”
Nilizungumza huku nikimkalisha kwenye sofa taratibu. Tukatazama usoni, hapakuwa na aliye muongelesha mwenzake, hata sauti ya mama Mariam inayo ita ikawa haiendelei tena.
“Ngoja nitoke nikamzuge mama yako, hakikisha unafanya unatoka humu ndani asije kukustukia”
“Sawa”
Nikachukua taulo langu na kujifunga kiunoni mwangu,  nikachukua sabuni yangu na kutoka chumbani kwangu, kwenye kordo sikumkuta mtu wa iana yoyote. Nikaelekea kwenye mlango wa mbele ambapo nilihisi naweza kumkuta mama Marim, kwa bahati nzuri nikakutana naye mlangoni akiwa anaingia. Nikamshika mkono na kutoka naye nje.
“Vipi mbona unamwagikwa na jasho?”
“Nilikuwa ninafanya mazoezi, nikaoge kwa maana kuna sehemu nahitaji kuelekea”
“Unaeleka wapi tena honey”
“Ninakwenda nje ya nchi kikazi, kwahiyo sinto kuwepo Tanzania kwa siku kadhaa”
“Jamani Dany, hata kiu yangu hujaimaliza na wewe unataka kuondoka?”
“Imetokea kwa dharula tu, ndio maana nilipo isikia sauti yako nikatafuta ili niweze kukueleza juu ya hili mpenzi wangu”
“Na safari hiyo unaondoka saa ngapi?”

“Saa mbili hii ndio naondoka, hapa nimemaliza kufanya mazoezi na ninahitaji kueleka bafuni, nijiandae niondoke”
Mama Mariam akatazama kila sehemu ya eneo hili la nje tulipo kisha akanikumbatia na kuanza kuniyonya mdomo wangu. Tukalifanya tendo hilo kwa dakika kadhaa kisha tukaachiana.
“Nakuomb nikaoge”
“Sawa honey, ila Marim umemuona?”
“Nilimuona pale nilipo rudi na nikamuomba ufunguo, baada ya hapo sikufahamu ni sehemu gani aliyo elekea”
“Yaani huyu mtoto sijui atakuwa amekwenda wapi, ngoja nikamtazame hapo mbele kwa mama Jenifa”
“Sawa”
Mama Mariam akanipiga busu la mdomo kisha akatoka getini, alipo funga geti kwa haraka nikaingia ndani moja kwa moja nikaeleka chumbani kwangu, nikaufungua mlango na kuingia ndani. Sikumkuta Mariam, nikashusha pumzi na kuelekea chumbani kwake, nikamkuta akiwa amesimama katikati ya chumba huku amefunga kanga kifuani.
“Mama yako amekwenda kwa mama Jenifa, sasa fanya ukaoge kisha urudi ulale sawa?”
“Sawa”

Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images