POLISI Mkoa wa Ilala, jijini Dar es Salaam imeendesha oparesheni
maalum ya kuwanasa machangudoa wanaofanya biashara hiyo haramu katika
eneo lao na kufanikiwa kuwaweka ‘mtu kati’ makahaba kibao, wakiwemo raia
wa Rwanda na Burundi...
Kamatakamata
hiyo ilichukua nafasi usiku mnene wa Alhamisi ya Mei 23, mwaka huu
kwenye danguro kubwa la makahaba lililopo Kariakoo, jijini Dar ambalo
WANYARWANDA WANASWA LIVE WAKIJIUZA JIJINI DAR
↧
↧
MAKALIO YAANIKWA MBELE YA WABUNGE KATIKA SHINDALO LA MISS TABORA
Mmoja
wa washabiki wa muziki wa kizazi kipya ambaye alivaa vazi lililoacha matako nje....
Shabiki huyo alipanda jukwaani kumkumbatia
msanii maarufu nchini , Ommy Dimpoz wakati alipokuwa akitoa burudani
katika mashindano ya Redds Miss Tabora.
Tukio hilo la aibu lilitokea mbele ya wabunge....
Mbunge
wa Jimbo la Sengerema Bw.William Ngereja akiwa na Diwani wa kata ya
↧
KIBAKA ACHOMWA MOTO HUKO MBAGALA BAADA YA KUIBA BEGI NA SIMU.....
Jamaa akimmalizia mtuhumiwa kwa tofali...
Kibaka mmoja amejikuta akiyaaga maisha ya uraiani baada ya kuchomwa moto na wananchi wenye hasira kali....
Tukio hili limetokea maeneo ya mbagala charambe mida ya saa sita mchana
baada ya kibaka huyu kuingia ndani ya nyumba ya mtu na kuiba begi...
Taarifa zinaeleza kwamba, raia mwema ambaye ni mkazi wa nyumba hiyo
↧
MABADILIKO: MWILI WA NGWEA UTALETWA JUMANNE NA SIYO KESHO
↧
UCHAFU WA BIG BROTHER: HUYU NI MUWAKILISHI WA NIGERIA AKIWA UCHI MBELE YA KAMERA HIZO
↧
↧
"TANZANIA HAIWEZI KUIOMBA RADHI NCHI YA RWANDA"......BENARD MEMBE
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard
Membe amesema kamwe Tanzania haitaiomba radhi Rwanda, baada ya Rais
Jakaya Kikwete kuishauri nchi hiyo kufanya mazungumzo na upinzani ili
kumaliza vita katika eneo hilo la Maziwa Makuu.
Serikali ya Rwanda iliitaka Tanzania iombe radhi
kwa madai kuwa kauli ya Rais Kikwete ni kama tusi kwao na
↧
BIG BROTHER NI SHINDANO LA LAANA......WENGI WAO NI WACHEZA FILAMU ZA NGONO....NA HII NI VIDEO YA USHAHIDI
<!-- adsense -->
Kinachoonekana ni kwamba, BBA ni sawa na shindano la laana ambamo asilimia kubwa ya washiriki wake ni wacheza filamu chafu au watu wenye skendo mbaya....
JUZI tuliandika juu ya kuvuja kwa video chafu ya mshiriki wa shindano la Big Brother Africa ambaye ni raia wa Zimbabwe......
Mshiriki huyo ni mwanadada maarufu kwa jina la Pokello. Katika
↧
REGINALD MENGI AMPONGEZA KIKWETE KWA KUUZA NCHI NA KUWAACHA WATANZANIA WAKIUMIA
WAKATI wawekezaji wakigeni wakizidi
kunufaika huku watanzania wakiendelea kuishi katika lindi la
umaskini,Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP Media Reginald Mengi
ameipongeza Serikiali ya Rais Jayaka Kikwete kwa hatua ya kuuza nchi
kwa wawekezaji hao.
Pongezi za Mengi kwa Serikali ya Rais Kikwete imekuwa na tafsiri
tofauti kutokana na jinsi ambavyo wawekezaji hao
↧
HUDDAH TOKA KENYA AYAAGA MASHINDANO YA BIG BROTHER..... MWAKILISHI WA TANZANIA ALIA NA WAVUTA BANGI
Maneno huumba....!!! Huddah ameliaga shindano hilo...
------------------------
Huddah
ambaye ni mshiriki kutoka Kenya alijikuta akibubujikwa na machozi jana wakati
akimuelezea Angelo (SA) kuhusiana na uhusiano wake wa kimapenzi ambao
ni wa ku-beep yani vuta nikuvute ambao amekuwa nao nchini kwao. Mrembo huyo hakutaja jina la mpenzi wake lakini inahisiwa
alimaanisha kuwa
↧
↧
WABUNGE WANASWA KATIKA DANGURO LA UCHI MJINI DODOMA....WALIKUWA WAKITOA PESA KWA KUZIWEKA MAKALIONI
Katika ukumbi maarufu wa muziki au kwa jina jingine ‘club’ (jina linahifadhiwa) uliopo mjini Dodoma mengi yanatokea.
Watu wanaingia mmoja mmoja, wengine kwa makundi na baadhi wapo nje wakipunga kwanza upepo kabla ya kuingia.
Siku hizi wanawake wanaingia bure au kwa jina jingine ‘ladies free’ jambo linalosababisha ukumbi huu ufurike watu.
Katika
ukumbi huu, yapo maeneo mawili. Kuna
↧
KUMNYONYA MWANAMKE AU MWANAUME AU KUFANYA MAPENZI MDOMONI HUSABABISHA KANSA YA KOO
Kuna wakati mtu anaweza kuweka hadharani siri yake kwa nia
njema ya kuokoa maisha ya watu wengine watokana na ushuhuda wake, na hii ni kwa
kuwa watu wengi huwa wagumu wa kubadilika hadi waone mfano hai ama mtu
aliyeathirika kutokana na tabia flani akitoa ushahidi.
Muigizaji mkongwe
mwenye umri wa miaka 68 Mmarekani Michael Douglas ameweka wazi kuwa tatizo lake
la kansa ya koo
↧
LADY JAYDEE NA T.I.D WASAMEHEANA BAADA YA KUZINGUANA KISA SHOW YA JIDE
Wakati mwingine matatizo hukutanisha watu waliokosana na kuufufua
tena urafiki wao. Harakati za maandalizi ya mazishi ya marehemu Albert
Mangwea zimewakutanisha marafiki wawili walioingia kwenye tofauti hivi
karibuni, Lady Jaydee na TID.
Hivi karibuni TID alitangaza kujitoa kwenye show ya miaka 13 ya
Jaydee na kuweka sababu tatu. Kutokana na uamuzi huo wa TID, watu
walimchukulia
↧
KAMATI YA NGWEA YAKUSANYA MILIONI 32....MAMA MZAZI APANDWA NA PRESHA BAADA YA MWILI WA NGWEA KUZUIWA HUKO AFRIKA KUSINI
KAMATI ya Mazishi ya aliyekuwa Msanii wa Bongo Fleva, Albert Mangwea
‘Ngwea’, mpaka jana mchana ilikuwa imekusanya jumla ya Sh milioni 32
kutoka kwa wadau mbalimbali.
Kamati hiyo inahitaji Sh milioni 50 kwa
ajili ya kusaidia kusafirisha mwili wa marehemu kutoka Afrika Kusini
mpaka Morogoro kwa ajili ya mazishi. Fedha hizo pia zinahitajika kwa
ajili ya kuratibu shughuli nzima ya mazishi.
↧
↧
COCACOLA WAMNUNULIA GARI JIPYA DIAMOND
Ukikutana na Diamond mtaani akiwa na mchuma mpya wenye rangi nyeusi, usishtuke sana, jua ni courtesy of Cocacola.
Inavyoonekana ni kuwa Cocaboy kama anavyojiita siku hizi, amenunuliwa
gari jipya na wadhamini wake kampuni ya vichwaji ya Cocacola.
“Ya all ready know what it’s….. tukutane Fuel station!! #CocaCola
Mumetishaaaaaa,” aliandika jana kwenye picha ya Instagram ya gari hilo
↧
BIG BROTHER: MSHIRIKI WA TANZANIA APEWA KAZI YA KUTEMBELEA MIGUU NA MIKONO KWA MUDA WA SIKU TANO
SHINDANO la Big Brother
Afrika limeendelea kwa washiriki wawili kutolewa katika wiki ya kwanza
ya mchezo huo ambao unashirikisha washiriki wapatao 28 kutoka nchi 14
barani Afrika.
Jumatatu
iliyopita washiriki walipata nafasi ya kutoa mapendekezo yao ya
kuchagua washiriki ambao wanaona wanafaa kuingia katika Danger Zone
ambapo watano kati yao ndio waliotajwa mara nyingi zaidi na
↧
VIDEO: MELI YA MIZIGO YA MV. ARAFAT YATEKETEA KWA MOTO KATIKA BANDARI YA TANGA
↧
RASIMU YA KATIBA MPYA YAPENDEKEZA KUWEPO KWA SERIKALI TATU.....
Leo ni ufunguzi wa rasimu ya katiba mpya na Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amesema kwamba Rasimu hiyo imependekeza kwamba
matokeo ya rais yahojiwe mahakamani.
Kwa lugha nyingine ni kwamba katiba ijayo itaruhusu Rais
kushtakiwa mahakamani endapo matokeo yake yatatiliwa shaka na wagombea
wengine.
Jaji Warioba ameyasema hayo wakati wa uzinduzi wa
↧
↧
AIBU YA BIG BROTHER LEO IMEHAMIA KWA ANNABEL WA KENYA....HII NI VIDEO YAKE AKIWA BAFUNI
↧
ALBERT MANGWEA AAGWA NA WATANZANIA WALIOKO AFRIKA KUSINI.....MWILI WAKE UTALETWA KESHO SAA NANE
Watanzania waishio nchini South Africa wamepata nafasi ya
kuuaga mwili wa Albert Ngwea kuelekea katika safari ya
mwisho wakiongozwa na Msanii Bushoke na Mtoto wa Mhe. Kingunge
Ngombale mwiru, Kinjeketile wanaosimamia mipango ya kuaga mwili nchini Afrika kusini...
Mwili wa marehemu utaletwa Tanzania kesho saa nane.....
<!-- adsense -->
↧
HII NDO HUTUBA YA MWENYEKITI WA TUME YA MABADILIKO YA KATIBA, JUNE 3, 2013
HOTUBA YA MWENYEKITI WA TUME YA
MABADILIKO YA KATIBA, JAJI JOSEPH S. WARIOBA, KATIKA MKUTANO WA
WAANDISHI WA HABARI KUHUSU UZINDUZI WA RASIMU YA KATIBA TAREHE 03 JUNI,
2013 KWENYE VIWANJA VYA UKUMBI WA KARIMJEE, DAR ES SALAAM.
UTANGULIZI Ndugu Wananchi,Awali
ya yote namshukuru mwenyezi mungu kwa kutuwezesha kufikia hatua hii ya
leo ya kuzindua Rasimu ya Katiba. pia, niwashukuru ninyi
↧
More Pages to Explore .....